Swali kuhusu Mahakama ya Kadhi tafadhali

Swali kuhusu Mahakama ya Kadhi tafadhali

Eleza kivipi nimejihami..
Nimejibu inavyotakiwa.
Sijajibu unavyotaka wewe.

Kwanza we ni muongo,wapi mtume kafa akiwa na miaka 60?

Kwahiyo kwa kua swali lako ulidanganya,unataka namimi nikudanganye kwenye majibu ndio uone nimejibu la,

Nimekuandikia ukweli.ndo maana huoni kama nimejibu.

We baki na uongo wako.
Yasome majibu yako. Hayajibu swali zaidi ya kujihami.
 
Dada faiza mi naomba kuuliza km mume alijiweka nyuma ktk utafutaji kila kitu anafanya mke mfano ktk ujenzi wa nyumba je mkiachana mume ana haki ktk nyumba hyo Wakati hakusaidia au awe amechangia asilimia 5/100

Huku nyuma ff ameelezea namna allah anavyo tutaka tuandikiane mikataba jinsi mali zetu waume kwa wanawake tunavyo zimiliki.
Kwahiyo kila mali iwe ya mume au ya mke nivyema kukawa na maadishi ili kuondoa hili swali lako.
 

Contradictions in Inheritance laws of Allah

Inheritance laws of Allah [verses: 4:11-12 and 4:176]


Quran 4:11-12 and 4:176 state the Qur'anic inheritance law. When a man dies, and is leaving behind three daughters, his two parents and his wife, they will receive the respective shares of 2/3 for the 3 daughters together, 1/3 for the parents together [both according to verse 4:11] and 1/8 for the wife [4:12] which adds up to more than the available estate. A second example: A man leaves only his mother, his wife and two sisters, then they receive 1/3 [mother, 4:11], 1/4 [wife, 4:12] and 2/3 [the two sisters, 4:176], which again adds up to 15/12 of the available property.


In these verses above one can see the total property after adding all distributed parties adds up more than the available property, i.e., totals become more than 1 which are: 1.125 and 1.25. How come? A gross mathematical errors, is not it?


Let us examine Allah's mathematical genius once more in different fashion:


Man dies leaving behind
Wife is1/8 = 3/24 (4:12)
Daughters 2/3 = 16/24 (4:176)
Father 1/6 = 4/24 (4:11)
Mother1/6 = 4/24(4:11)
Total = 27/24=1.125


Woman dies leaving no descendants or ascendants
Husband, (1/2) = 1/2 (4:12)
Brother (everything) = 2/2(4:176)
Total = 3/2 =1.5


Woman dies leaving no ascendants or descendants and no brother
Husband, (1/2) = 3/6 (4:12, 4:176)
Sister (1/2) = 3/6 (4:11)
Mother (1/3) = 2/6 (4:11)
Total = 8/6 =1.33


Man dies leaving behind:
Wife1/4 = 3/12 (4:12)
Mother 1/3 = 4/12 (4:11)
Sisters 2/3 = 8/12 ((4:176)
Total = 15/12 =1.25


Adding all distributed properties add up more than the available property, i.e., total becomes more than 1 which are: 1.125, 1.5, 1.33, and 1.25 respectively. Surely, Allah's mathematics was really divine!!!


 
Yasome majibu yako. Hayajibu swali zaidi ya kujihami.

Eleza vipi nimejihami.
Majibu yangu ni ya kweli,
Maswali yako ni ya uongo,
Ndio maana majibu yangu na msswali yako hayawezi kufanana.ndio maana huoni kama nimejibu. na kwa kuwa we ni muumini wa uongo,na bado unaendelea Kuupigania uongo,huwezi kuukubali ukweli.


Wapi mtume kafa akiwa na miaka 60?
 

Contradictions in Inheritance laws of Allah

Inheritance laws of Allah [verses: 4:11-12 and 4:176]


Quran 4:11-12 and 4:176 state the Qur’anic inheritance law. When a man dies, and is leaving behind three daughters, his two parents and his wife, they will receive the respective shares of 2/3 for the 3 daughters together, 1/3 for the parents together [both according to verse 4:11] and 1/8 for the wife [4:12] which adds up to more than the available estate. A second example: A man leaves only his mother, his wife and two sisters, then they receive 1/3 [mother, 4:11], 1/4 [wife, 4:12] and 2/3 [the two sisters, 4:176], which again adds up to 15/12 of the available property.


In these verses above one can see the total property after adding all distributed parties adds up more than the available property, i.e., totals become more than 1 which are: 1.125 and 1.25. How come? A gross mathematical errors, is not it?


Let us examine Allah’s mathematical genius once more in different fashion:


Man dies leaving behind
Wife is1/8 = 3/24 (4:12)
Daughters 2/3 = 16/24 (4:176)
Father 1/6 = 4/24 (4:11)
Mother1/6 = 4/24(4:11)
Total = 27/24=1.125


Woman dies leaving no descendants or ascendants
Husband, (1/2) = 1/2 (4:12)
Brother (everything) = 2/2(4:176)
Total = 3/2 =1.5


Woman dies leaving no ascendants or descendants and no brother
Husband, (1/2) = 3/6 (4:12, 4:176)
Sister (1/2) = 3/6 (4:11)
Mother (1/3) = 2/6 (4:11)
Total = 8/6 =1.33


Man dies leaving behind:
Wife1/4 = 3/12 (4:12)
Mother 1/3 = 4/12 (4:11)
Sisters 2/3 = 8/12 ((4:176)
Total = 15/12 =1.25


Adding all distributed properties add up more than the available property, i.e., total becomes more than 1 which are: 1.125, 1.5, 1.33, and 1.25 respectively. Surely, Allah’s mathematics was really divine!!!


Umecopy na kupaste usichoelewa,hesabu za mirathi katika uislamu haziendi hivyo,hii ni elimu mpaka usomee kama elimu nyinginezo,ukimuona Daktari anampasua mgonjwa utafikiri ana mzidisha maradhi kumbe ndio Dawa yenyewe.www.quranitukufu.net/c4.html
 

Contradictions in Inheritance laws of Allah

Inheritance laws of Allah [verses: 4:11-12 and 4:176]


Quran 4:11-12 and 4:176 state the Qur’anic inheritance law. When a man dies, and is leaving behind three daughters, his two parents and his wife, they will receive the respective shares of 2/3 for the 3 daughters together, 1/3 for the parents together [both according to verse 4:11] and 1/8 for the wife [4:12] which adds up to more than the available estate. A second example: A man leaves only his mother, his wife and two sisters, then they receive 1/3 [mother, 4:11], 1/4 [wife, 4:12] and 2/3 [the two sisters, 4:176], which again adds up to 15/12 of the available property.


In these verses above one can see the total property after adding all distributed parties adds up more than the available property, i.e., totals become more than 1 which are: 1.125 and 1.25. How come? A gross mathematical errors, is not it?


Let us examine Allah’s mathematical genius once more in different fashion:


Man dies leaving behind
Wife is1/8 = 3/24 (4:12)
Daughters 2/3 = 16/24 (4:176)
Father 1/6 = 4/24 (4:11)
Mother1/6 = 4/24(4:11)
Total = 27/24=1.125


Woman dies leaving no descendants or ascendants
Husband, (1/2) = 1/2 (4:12)
Brother (everything) = 2/2(4:176)
Total = 3/2 =1.5


Woman dies leaving no ascendants or descendants and no brother
Husband, (1/2) = 3/6 (4:12, 4:176)
Sister (1/2) = 3/6 (4:11)
Mother (1/3) = 2/6 (4:11)
Total = 8/6 =1.33


Man dies leaving behind:
Wife1/4 = 3/12 (4:12)
Mother 1/3 = 4/12 (4:11)
Sisters 2/3 = 8/12 ((4:176)
Total = 15/12 =1.25


Adding all distributed properties add up more than the available property, i.e., total becomes more than 1 which are: 1.125, 1.5, 1.33, and 1.25 respectively. Surely, Allah’s mathematics was really divine!!!


understanding the law of Inheritance of the Qur'an
www.central-mosque.com/../inherit.htm
 
Mbona tunaambiwa kunakupigwa hadi kufa hii imekaaje

Hapa tunaongelea mahakama ya kadhi ya Tanzania ambayo haina haki ya kuhukumu makosa hayo.

Ukipitia hii nyuzi utaona kuwa mahakama ya kadhi Tanzania itakuwa limited kwa kesi zinazohusiana na Ndoa, Talaka, Mirathi, Wakfu.

Tubaki kwenye mahakama ya kadhi ya Tanzania na "huduma" zake.
 


Adding all distributed properties add up more than the available property, i.e., total becomes more than 1 which are: 1.125, 1.5, 1.33, and 1.25 respectively. Surely, Allah's mathematics was really divine!!!

Basic mathematics principle becomes a headache to you. You do not "add" when you distribute, you subtract. Now go back and do your homework.
 
Dada faiza mi naomba kuuliza km mume alijiweka nyuma ktk utafutaji kila kitu anafanya mke mfano ktk ujenzi wa nyumba je mkiachana mume ana haki ktk nyumba hyo Wakati hakusaidia au awe amechangia asilimia 5/100

Naomba soma post namba 15.
 
TATIZOZO LAKO NI UONGO NA UZUSHI

Mtume amefariki akiwa na umri wa miaka 63.
Na si 60 kama unavovunja amri kuu ya saba mbele ya wakristo wenzako bila hata aibu.

Mtume Muhammad (saw) aliugua maradhi kabla ya kifo chake kama wanavougua watu wengine.

Mtume yeyote ni mtu kama mimi nawewe.na kila mtu ana nafsi,na kila nafsi itaonja mauti.
Alikufa sababu siku yake ilikua imefika.
Mtume ametangulia na sisi tunafuata kila mmoja kwa wakati wake aliopangiwa.
Maana sisi wote ni wa mwenyezi Mungu na kwake tutarejea.

Kifo cha Mtume Muhammad hakizungumzwi sana?
Ni uongo.
Waislam huwaidhika na mauti,mauti yanapomkuta binadamu mwenzio ni lazima kwa muislam kumkumbuka mungu,na yeye kujiandaa na hicho kifo kwa kufanya matendo mema.
Kifo cha mtume Muhammad kina maana sana kama vifo vya mitume wengine,isipokua yesu,maana yesu hakufa,yesu mpaka leo yupo mawunguni na kuna siku atarudi,na ataishi naye ndipo atakufa kweli,ila sio hiki kifo cha laana mlichomzushia mtumishi wa mungu,
Fanyeni hima mtubu,maana yesu akirudi milango ya toba itafungwa.

Naomba unijibu hili kabla ya kufa baada ya kuugua ukienda kwenye kitabu cha hadithi za mtume surat nimeisahau alisema anamkabidhi maisha yake issa bin mariam ina maana alikuwa hajui akifa atafikia wapi , sisi wakristo tuliahidiwa na YESU KRISTO TUKIISHI MAISHA YANAYOMPENDEZA MUNGU TUMEANDALIWA MAKAO HUKO AMBAPO HAKUNA KUOWA WALA KUOLEWA , HAKUNA KULA WALA KUNYWA, NI KUIMBA NA KUSIFU TU, HAKUNA USIKU WALA.MCHANA,
Sasa wenzetu mliahidiwa nini na mtume manake hata yeye hakuwa na uhakika wa hatma yake mpaka akamwachia Issa bin Mariam:what::banghead:
 
Eleza vipi nimejihami.
Majibu yangu ni ya kweli,
Maswali yako ni ya uongo,
Ndio maana majibu yangu na msswali yako hayawezi kufanana.ndio maana huoni kama nimejibu. na kwa kuwa we ni muumini wa uongo,na bado unaendelea Kuupigania uongo,huwezi kuukubali ukweli.


Wapi mtume kafa akiwa na miaka 60?

mgulwa huyo kituko wa mitandaoni asikuumize kichwa, kula yake inategemea anacho post mitandaoni.

Wewe tazama, hajibu mada, yeye kazi yake kukopi na kupesti tu, hauwezi kufanya nae mjadala wa maana, ni kumuacha kama alivyo, anajijuwa mwenyewe kuwa yu punguani wa hali ya juu.

Kuna mmoja alishikwa kwa wizi USA anaitwa MaxShimba, sijui kesi yake iliishaje, kutokea kushikwa kaingia kanisa la wapinga Kristo anaeneza chuki tu mitandaoni.
 
Last edited by a moderator:
mgulwa huyo kituko wa mitandaoni asikuumize kichwa, kula yake inategemea anacho post mitandaoni.

Wewe tazama, hajibu mada, yeye kazi yake kukopi na kupesti tu, hauwezi kufanya nae mjadala wa maana, ni kumuacha kama alivyo, anajijuwa mwenyewe kuwa yu punguani wa hali ya juu.

Kuna mmoja alishikwa kwa wizi USA anaitwa MaxShimba, sijui kesi yake iliishaje, kutokea kushikwa kaingia kanisa la wapinga Kristo anaeneza chuki tu mitandaoni.

ImageUploadedByJamiiForums1429863532.487851.jpg

Aisee
 
Last edited by a moderator:
Si kwamba atapigwa mawe hadi kufa😕

Vigezo vya mzinzi kupigwa mawe hadi kufa

1.muhusika awe na make/mume, au awe alishawahi kuolewa/kuoa.

2.mashahidi WANAOAMINIKA wanne au zaidi.wasipungue wanne.na wawe wamelishudia tendo lenyewe likifanyika.

Muhusika awe ni muislam.

Sheria Hii ni ngumu sana kutekelezeka,hasa kutokana na kigezo hicho cha pili.kwa kua wanaozini huzini kwa siri/hujifungia.ni ngumu kupata mashahidi wanne.

Hata wakati wa mtume,alihukumiwa mtu mmoja tu,naye kwa vigezo chungu mzed.

Alikua ni mwanamke,alizini kwa siri,akapata ujauzito.
Kwa ridhaa yake kwa kuna amefanya dhambi,akamfuata mtume na kumuomba aidhinishe sheria ipite juu yake.
Mtume akamwambia,subiri mpaka ujifungue kwanza.
Alipojofungua tu akaenda tena kwa mtume kutaka sheria ipite.mtume akamwambia,kamnyonyeshe mtoto miaka miwili.
Alipomnyonyesha mtoto miaka miwili akamfuata tena mtume.
Akitaka sheria ipite juu yake.
Ndipo mtume akaidhinisha sheria ipite.

4.muhusika mwenyewe kujisema kuwa kazi ni,na anaomba sheria ipitishwe.jambo ambalo halijawai tokea.

Vigezo vya 1,2 na 3 vyote vinatefemeana.kikikosekana hata kimoja,sheria haipiti.

Mzinzi ambaye hajaoa/ kuolewa vikipatikana vigezo hivyo hapo juu.
Sheria yake ni fimbo 100.

Na kama sheria ya uislam ingepewa nafasi ifanye kazi.
1.tusingeujua ukimwi..
2.Tusingekuwa na watoto wa nje ya ndoa.
3.tusingekuwa na watoto wa mitaani.
Na hata kama haya yangetokea si kwa kiasi hiki.
 
Umeuliza maswali mengi mfululizo, ngoja tuanze na moja moja.

Kwanza yapaswa uelewe ni mambo yepi ambayo huamuliwa na mahakama ya kadhi.

Mahakama ya kadhi "haitahudumia" kesi za jinai na pia kesi za madai ya kibiashara.

Mahakama ya kadhi itahusika na kesi za haki za msingi kwa Waislam ambazo ni mirathi, ndoa, talaka na wakfu za Waislam tu.

Naam, tulitakalo sisi kuwa Mahakama hii ikiamua basi iwe ndiyo mwisho kuhusu hayo niliyoyataja.

Kule Somalia tunaona Watu wanapigwa mawe kwa kukamatwa ugoni, msituletee janja ya nyani eti Mahakama ya Kadhi haihusiki na jinai! Hayo maneno matamu matamu eti "mirathi," "ndoa," "talaka" na "wakfu" ni mlango tu wa kuingilia, baada ya hapo tutaona akina "Boko Haramu" wa ki-Tanzania wakiendeleza ule wimbo wa zamani eti "Waislamu tunaonewa" ili kuendelea na Mission ya kuisilimisha nchi!
 
Back
Top Bottom