huna cha kuandika zaidi ya CDM mbona yapo mengi? Yule mwenyekiti wenu wa maproffesor wa uchumi duniani pumba habari zake zimeisha?Matatizo ya Watanzania ni akili finyu, hilo halihitaji uwe "genius" kulijuwa.
Au kwa vile na yeye anavaa vile visuruali venu vifupi? Subiri kukuche uwahi kwenye pilau za hitma naona una njaa andaa na ndizi usisahau chachanduNauliza hivi;
Jee, wanazi wa chadema mtamkubali Zitto kugombea Urais?
Matatizo ya Watanzania ni akili finyu, hilo halihitaji uwe "genius" kulijuwa.
Ribosome , We Bweg.e kama umetumwa na Zitto mwambie imekula kwake na kwako, we umeuliza wanazi wa CDM na wamekupa jibu simple No, hatuwezi kumpigia kura coz hata kupitishwa hatutampitisha, sababu ni kuwa Hana sifa za kuwa Rais, akili zake zinafanana na za Mkwer.e simple kamwambia hivyo, Mkuu Lukolo Hebu nisaidieni kumpaka huyu Bweg.e aliyetumwa na Zitto kama sio kujipendekeza kwa Zitto Mpaka aache kufikiri kwa kutumia MakalioWewe utakuwa wa kanda ya Kaskazini.