Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
1. Jeshi la uhifadhi linaua raia kila siku na rais Samia yupo kimya. Wananchi wanauliwa hata wakichanja kuni hifadhi.
2. Ufisadi umetamalaki kila kila mahala serikalini. Hii ni baada ya mkuu wa nchi kuruhusu kila mtumishi ale kwa urefu wa kamba yake.
3 Waarabu ambao ni ndugu zake na rais Samia kuuziwa wanyama pori wa Tanganyika.
4. Katiba ya JMT inakanyagwa na kusiginwa . Mdee na wenzake sio wabunge wanazi wa Mbowe.
5. Pesa za watanganyika zinaibiwa na kupelekwa Kizimkazi.
2. Ufisadi umetamalaki kila kila mahala serikalini. Hii ni baada ya mkuu wa nchi kuruhusu kila mtumishi ale kwa urefu wa kamba yake.
3 Waarabu ambao ni ndugu zake na rais Samia kuuziwa wanyama pori wa Tanganyika.
4. Katiba ya JMT inakanyagwa na kusiginwa . Mdee na wenzake sio wabunge wanazi wa Mbowe.
5. Pesa za watanganyika zinaibiwa na kupelekwa Kizimkazi.