johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,039
Mbowe kwa Katiba ya CHADEMA haimzuii kugombea tena Uenyekiti kama atapenda na asipogombea ndio tutasema "anang'atuka"
Sasa Zitto Kabwe anang'atukaje?
Tupeni Ufafanuzi kikatiba tuachane na Siasa za Ulevini. 🐼
Sasa Zitto Kabwe anang'atukaje?
Tupeni Ufafanuzi kikatiba tuachane na Siasa za Ulevini. 🐼