Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,063
- 74,477
Mara nyingine akija nishtue, grinding ain't fairHuyo kaka aliyekufata Moro ukamkimbia nadhani wewe ndio.uliona huendani nae ukajishtukia na kutoka ndukiiiiii maana sababu uliyotoa haiingii akilini, "Mrefuuu halafu kijana mdogoo"
Lol, kidding.
Me niliwahi kukutana na Manzi katoka Arusha kanifata Dar, akafikia kwa dada yake kesho yake tunaenda kuonana, loooh kanipigia sketi ya kitenge na blauzi ya kitenge mshono wa popobawa lol, chini kanivalia sendoz sijui za yebo yebo maana ilikua ni shiidah, sitaki kusema umbo lake nitakua namkosea hadi Mungu.... that gal alikua na sexy voice kwa simu, nilivyokuja kumuona physicaly daah was so disappointed ila sikuweza kumkimbia maana niliheshimu safari ndefu ya Arusha to Dar, tukaenda kwenye mgahawa mzuri, tukala tukanywa, nikamrudisha kwao ndio ikawa mwisho wa kuonana kwetu tho aliumia sana.