Swali: Hivi Kwanini Wanawake Huwa Hampendani?!

Swali: Hivi Kwanini Wanawake Huwa Hampendani?!

kuna watu wanatukanana kilugha humu nacheka tuu vitu walivyoandika!as long as wengi wetu hatuelewi walichoandika hata sioni umuhimu wa wao kupigwa ban!endeleeni kutukana kilugha vijana

hata WEWE MDHUTI WAKO UGERWA VICHAA...
 
juzijuzi mwanamke alijitolea kugombea uspika wa bunge la katiba lakini alijiondoa mara baada ya kushambuliwa na kupigiwa simu na wanawake wenzake
 
Hata mi hua nashangaa kwa nini wanawake wengi hawanipendii cha ajabu hata pesa sina sijui ningekua nazo wangekufa kwa chuki !!!!ila sio wote hatupendan baadhii tu ila wengi wetu tuna chukii na wivu hata awe rafiki wa karibu usimuaminii!!

Kweli kabisaaaaa
 
Labda tuanze utafiti tuweze jua tatizo liko wapi, je level ya elimu ya hao wanawake ni ipi? Kwa hapa ofisini kwetu shida tunazisikia kwa watu wa level ya chini. Kwa walioenda shule sana tunawaona wako busy sana na mambo yao. Yaani hawana hata muda wa kujua fulani kavaa nini anaendesha gari gani wao wanafikiria kuandika miproposal na kupata pesa. Wanaume hata kama wanaoneana wivu huwa hawaonyeshani kama wanawake wanavyofanya labda kwa kuwa wanaume wamelelewa wakijiamini

Kuoneana wivu ni jambo la kawaida kwa binadamu wote wakike na kiume. Tatzo letu sisi wanawake ni chuki na kutopendana alafu bila sababu, na elimu si sababu ni adili yetu kwasababu wanaume hata akiwa hana elimu hata ya darasa la saba huwez kukuta anamuonyesha mwenzie attitude za ajabu ajabu au kumkalia vigenge mwanaume mwenzie au hata kweny hz social network wako tofauti na ss, hata ukija kweny mambo ya ndoa always kesi ni za mawifi na mama wakwe na si baba mkwe na mashemeji
 
Labda tuanze utafiti tuweze jua tatizo liko wapi, je level ya elimu ya hao wanawake ni ipi? Kwa hapa ofisini kwetu shida tunazisikia kwa watu wa level ya chini. Kwa walioenda shule sana tunawaona wako busy sana na mambo yao. Yaani hawana hata muda wa kujua fulani kavaa nini anaendesha gari gani wao wanafikiria kuandika miproposal na kupata pesa. Wanaume hata kama wanaoneana wivu huwa hawaonyeshani kama wanawake wanavyofanya labda kwa kuwa wanaume wamelelewa wakijiamini

Kuoneana wivu ni jambo la kawaida kwa binadamu wote wakike na kiume. Tatzo letu sisi wanawake ni chuki na kutopendana alafu bila sababu, na elimu si sababu ni tabia yetu tu sababu ukija kweny mambo ya ndoa always kesi ni za mawifi na mama wakwe na si baba mkwe na mashemeji
 
Binti Sayuni, kiukweli kabisa kutoka ndani ya moyo wangu, katika suala zima la upendo, mimi sio tuu napenda kwa dhati, bali nina upendo wa mshumaa!, naweza kumulikia wengine huku kwangu kunateketea!.

Kiukweli sisi watu wa kadha fulani, Mungu katujalia sana, hatunaga roho mbaya!. Nakumbuka nilipoanza kazi kwa mara ya kwanza, enzi hizo tunalipwa fedha dirishani, kukatokea kabinti kamoja "cheupe" moyo wangun ukakandondokea!, siku ya mshahara kakaja kakakuta foleni ndefu kakaomba kuingia mbele yangu!, si unajua tena watu wengine wamejaaliwa maombo yenye shukrani!, fole za enzi hizo watu ni kwa kubanana ile mbaya!, kiukweli ilikuwa taabu!. Alipomaliza tuu kuchukua nikamwambia nisubiri!, amini usiamini, baada ya kuuchukua mshahara wangu mzima hivyo hivyo ulivyo na bahasha yake hadi zile coins, nilimkabidhi hivyo hivyo ulivyo!.

Wengine tuoneni hivi hivi na umasikini wetu!, wengine umasikini ni wa kujitakia shauri ya upendo wa mshumaa, unamulikia wengine huku wewe ukiteketea!.

Pasco

Hahahaaa.Unanichekesha kaka.Inaeleke upendo wako wewe ni ule unaitwa Eros.Hebu endelea kujichunguza.
Hebu soma hapo chini hiyo link.Unapaswa uwe na upendo wa Agape.
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/32550-nini-maana-hasa-ya-neno-upendo.html
 
Hata mi hua nashangaa kwa nini wanawake wengi hawanipendii cha ajabu hata pesa sina sijui ningekua nazo wangekufa kwa chuki !!!!ila sio wote hatupendan baadhii tu ila wengi wetu tuna chukii na wivu hata awe rafiki wa karibu usimuaminii!!

Tena adui ya mwanamke namba moja ni yule rafiki tena yule wa karibu unaemwambia mambo yako yoooote
 
Kuoneana wivu ni jambo la kawaida kwa binadamu wote wakike na kiume. Tatzo letu sisi wanawake ni chuki na kutopendana alafu bila sababu, na elimu si sababu ni tabia yetu tu sababu ukija kweny mambo ya ndoa always kesi ni za mawifi na mama wakwe na si baba mkwe na mashemeji

shida ya wanawake ni kutojiamini. ukijiamini wala hutapata shida na vitu vidogo vidogo.
 
ama kweli siku hizi adui wa mwanamke ni mwanaume. yaani umeidadavua hiyo sentensi ilimradi huyo mtu aliyecomment aonekane mbaya.
 
Siri kubwa ni Wivu, hupendi kuona vaislay akisifiwa sana na watu,ndan ya roho unaona "kwann wamsifie yeye tu akati hana lolote",ile ni kujipa matumaini hata kama kweli vaislay kakuzidi
Ushindani pia ni tatizo na linalozalisha chuki hasa ukiwa mshindwaji.
Unamchukia tu mtu kwa kumuona hata kama humjui au hakujui/hakuhusu.
Uswahili pia ukizid ni tatizo.
Elimu pia inahusika......
 
Wanabodi,

Naomba kuuliza, hivi kwa nini wanawake huwa hampendani?!, Inawezekana kuwa ni kweli, adui wa mwanamke ni mwenyewe?!.

Naomba niwape mfano mdogo tuu toka humu humu jf,

Siku kadhaa nyuma niliwahi kupandisha humu jf thread kuhusu, [h=3]CRDB Bank -Lumumba ni "Maua" na Maua!.[/h]
Kwenye thread hiyo nikaweke picha za wafanyakazi wa benki hiyo, na kiukweli, kwa maoni yangu mimi binafsi ni kuhusu wafanyakazi wao wa kike ni "mashallah!".

Leo katika kuitembelea tuu ile thread, nikakutana na comment hii


Du !, ama kweli!, kwa nini lakini wanawake hampendani?!, yaani wewe ... unawaoneaje wivu wadada wa watu hata huwajui?!. Wadada hao wako natural wamependeza, unawasingizia mkorogo?!, that's not fair!. Au kwa vile wanafanya kazi nzuri, ofisi nzuri, wanalipwa pesa nzuri, mazingira mazuri ya kazi ni full kipupwe, saa zote wako ndani, hivyo hawaungui na jua!, hii inapelekea wengi wao kung'aa unadhani ni mkorogo?!. No way!.

Hebu na wewe, hebu tembelea hapa [h=3]CRDB Bank -Lumumba ni "Maua" na Maua!.[/h]uniambie kwa ukweli wako kabisa, jee kweli kuna mikorogo hapo?!

Wadada pendaneni!.

Pasco
Siku ya Wanawake Duniani, Wanawake pendaneni.
P
 
Siku ya Wanawake Duniani, Wanawake pendaneni.
P
Kuna mmoja leo alikua anazungumzia 50/50 kwenye masuala ya uongozi, sio kila idara top boss ni mwanaume, alivyomaliza porojo zake nikakaa nae tukawa tunapiga story, katika maongezi nikamchomekea kaswali ka kizushi
Hivi kweli Mwantumu wewe kama wewe utafurahi zaidi kufanya kazi chini ya boss mwanaume au mwanamke mwenzako?
Jibu alilonipa sasa "Aaaaahhh sisi wanawake ni nyoko sana tukipataga vyeo, yaani binafsi ni bora mara mia kufanya kazi chini ya boss mwanaume kuliko kunyanyaswa na mwanamke mwenzangu"
Nikamuuliza sasa kwenye zile ngonjera zako ulikua unamaanisha nini alivyokua unaongelea kuhusu 50/50?
Akanijibu "wewe nawe, kwani haujui kua leo ni siku ya wanawake dunia? Lazima tujitutumue ili tuonekane na sisi tupo"
 
Wanabodi,

Naomba kuuliza, hivi kwa nini wanawake huwa hampendani?!, Inawezekana kuwa ni kweli, adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe?!.

Wadada pendaneni!.

Pasco
Leo siku ya wanawake duniani, wanawake pendaneni.
P
 
Wanawake wote wana roho mbaya tu,nami niliweka uzi katika jukwaa la mmu,kwa nini wanawake mna roho mbaya? Walikuja juu,kinoma,lakini ndio ukweli,hata wakikataa.
Hari ya kuchukiana, sio kwa wanawake tu, ni Hari Fulani, state of mind ya watu, binadamu wanapokuwa wanagombania fulsa Fulani, kuchukiana, wa bongo wakiwa ulaya, hawapendani, waliotsngulia hawataki kuonyesha njia kwa, wenzao,
Hapa bongo, waliopo kwenye nafasi tamu tamu, hawapendi kusaidia wenzao, lakini wale waliopo nafasi moja,hupendana, hii Hari ya chuki sio exclusive tu kwa wanawake,
 
Wanabodi,

Naomba kuuliza, hivi kwa nini wanawake huwa hampendani?!, Inawezekana kuwa ni kweli, adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe?!.

Wadada pendaneni!.

Pasco
Leo siku ya wanawake duniani, nawapa hongera wanawake wote duniani kwa kuzaliwa wanawake, maana hakuna maisha kwa maana ya life bila mwanamke, ila life bila mwanaume, inawezekana, but there is no life without a female!. Big up sana kwa wanawake wote !.
P.
 
Back
Top Bottom