Swali: Hivi Kwanini Wanawake Huwa Hampendani?!

Swali: Hivi Kwanini Wanawake Huwa Hampendani?!

Hawapendi kwa kua wanaroho za kutopendana,mwanamke yuko tayari kumpigia hesabu mwenzie kuanzia kiatu alichovaa mpaka nguo ya ndani.
Akijua gharama ni ndogo anamdharau akijua ni kubwa kumzidi yeye basi anamchukia
 
Women, what does it take to accept that there are women prettier than you?

Unakuta wanawake wanakuonyesha attitude, hamjuani, ankuanza dole la mguuni anakupandisha mpaka juu.

I am a woman but kwa kweli this makes me sick!
 
mimi nikisifia wanawake humu naambiwa wanamashaka na mimi.... uzuri upo machoni mwa mtu,... sasa kumwona we ni mzuri haimaanishi wote tuone ni wazuri mkuuu... nacho kiona kwako ni hoja nyepesi tu isiyokuwa na mashiko... though ni kweli wanawake baadhi yetu hatupendani ni jambo la kawaida sana,,......
 
hakuna mwanadamu anayemchukia mwenzake bila ya sababu
ukijua hivyo pasco ujue kuwa kuna chanzo cha kutokumpenda
na nidicho kisababishacho na sio tu mtu amekaa eti anamchukia mwenzake
bila soni au sababu yoyote ile ujue labda kimetokea kitu

kwa upande wa wanawake hatuchukiani bali tunapendanasana
tena sana labda itokee tumekorofishana kidogo kwenye maneno
ndipo lije suala la kutopendana au mwanamke anaweza ona wivu
kwa mwenzake labda amependeza kuliko yeye hapo anamchukia
lakini si wote wako hivyo bali ni moyo na tabia ya mtu kaka


Wanabodi,

Naomba kuuliza, hivi kwa nini wanawake huwa hampendani?!, Inawezekana kuwa ni kweli, adui wa mwanamke ni mwenyewe?!.

Naomba niwape mfano mdogo tuu toka humu humu jf,

Siku kadhaa nyuma niliwahi kupandisha humu jf thread kuhusu, CRDB Bank -Lumumba ni "Maua" na Maua!.


Kwenye thread hiyo nikaweke picha za wafanyakazi wa benki hiyo, na kiukweli, kwa maoni yangu mimi binafsi ni kuhusu wafanyakazi wao wa kike ni "mashallah!".

Leo katika kuitembelea tuu ile thread, nikakutana na comment hii


Du !, ama kweli!, kwa nini lakini wanawake hampendani?!, yaani wewe ... unawaoneaje wivu wadada wa watu hata huwajui?!. Wadada hao wako natural wamependeza, unawasingizia mkorogo?!, that's not fair!. Au kwa vile wanafanya kazi nzuri, ofisi nzuri, wanalipwa pesa nzuri, mazingira mazuri ya kazi ni full kipupwe, saa zote wako ndani, hivyo hawaungui na jua!, hii inapelekea wengi wao kung'aa unadhani ni mkorogo?!. No way!.

Hebu na wewe, hebu tembelea hapa CRDB Bank -Lumumba ni "Maua" na Maua!.

uniambie kwa ukweli wako kabisa, jee kweli kuna mikorogo hapo?!

Wadada pendaneni!.

Pasco
 
Mimi ni mwanamke lakini nakusapoti asilimia 100, japo huwa hatuukubali ukweli lakini sisi hatupendani hata kidogo

kweli ww mpenzi wa Mungu. Sijwahi kuona unaongea unafki kwenye koment zako...... Umenifanya nikupende bure
 
Na ukitaka utawale watu hakikisha unawadivide, unawaaminisha kuwa hawapendani! Na wenyewe wanajua ni kweli. Na hii ndio silaha wanaume wameweza kuitumia

sizani kama wanaume wanahusika hapa, ni sisi wenyewe, na cha kushangaza zaidi unakuta mtu hakujui humjui lakini hizo attitude atakazokuonysha utajiuliza siku nzima, sijui kama wewe ni msomaji wa mablog haya yaliyojazana sikuhizi lakini mimi ni msomaji mzuri sasa huko ndiko kuna mifano hai, jamani wanawake ni kusemana kuuuuutwa, yani mtu analeta habari ambayo hana hata uhakika nayo na wengine nao wanachangia mpaka unajiulza hivi tukoje, huko instagram ndo mama mama mama mama, wanawake wamefungua account za kunanga wanawke wenzio bila kisa wala sababu
 
Women, what does it take to accept that there are women prettier than you?

Unakuta wanawake wanakuonyesha attitude, hamjuani, ankuanza dole la mguuni anakupandisha mpaka juu.

I am a woman but kwa kweli this makes me sick!

Aaa Majango hawana izo bhana! Kwani kupotezea hujui weye?
 
Asilimia kubwa zaidi ya wanawake nuksi tena ole wako ukaombe kazi ofisin halafu umkute yeye ndio incharge halafu manshalah mtoto wa kike ukute mungu kakujalia thubutuu ajira utaisikilizia kwenye bomba wanaume nawapa saluti sana mtu mnakuta hawajuani wamekutana sehemu watasaidiana utafikiri walijuana miaka kumi iliyopita .
 
sa kinachokufanya utukane ni nn?? Kisa ww una wivu wakike ndio unataka hata jamaa awe kama ww! Kwan ulitaka aongee unafiki?? Penye ukweli lazma aongee ukweli. Acha kuwa na moyo wa kinafiki

Mie nimem zoom we nikakosa cha kumwambia. Kuna viroba vipya vinaitwa Burudani. Acha tu. Ni janga la kitaifa.
 
Ni kweli hawapendani, hata ukiwakuta wanawake wanapendana sana jua ni unafiki tu, wakiachana wanasonyana. Ila kiukweli hao wadada wamejikoboa mkuu, tena hawana uzuri wowote..!
 
sizani kama wanaume wanahusika hapa, ni sisi wenyewe, na cha kushangaza zaidi unakuta mtu hakujui humjui lakini hizo attitude atakazokuonysha utajiuliza siku nzima, sijui kama wewe ni msomaji wa mablog haya yaliyojazana sikuhizi lakini mimi ni msomaji mzuri sasa huko ndiko kuna mifano hai, jamani wanawake ni kusemana kuuuuutwa, yani mtu analeta habari ambayo hana hata uhakika nayo na wengine nao wanachangia mpaka unajiulza hivi tukoje, huko instagram ndo mama mama mama mama, wanawake wamefungua account za kunanga wanawke wenzio bila kisa wala sababu

Labda tuanze utafiti tuweze jua tatizo liko wapi, je level ya elimu ya hao wanawake ni ipi? Kwa hapa ofisini kwetu shida tunazisikia kwa watu wa level ya chini. Kwa walioenda shule sana tunawaona wako busy sana na mambo yao. Yaani hawana hata muda wa kujua fulani kavaa nini anaendesha gari gani wao wanafikiria kuandika miproposal na kupata pesa.
 
sizani kama wanaume wanahusika hapa, ni sisi wenyewe, na cha kushangaza zaidi unakuta mtu hakujui humjui lakini hizo attitude atakazokuonysha utajiuliza siku nzima, sijui kama wewe ni msomaji wa mablog haya yaliyojazana sikuhizi lakini mimi ni msomaji mzuri sasa huko ndiko kuna mifano hai, jamani wanawake ni kusemana kuuuuutwa, yani mtu analeta habari ambayo hana hata uhakika nayo na wengine nao wanachangia mpaka unajiulza hivi tukoje, huko instagram ndo mama mama mama mama, wanawake wamefungua account za kunanga wanawke wenzio bila kisa wala sababu

Labda tuanze utafiti tuweze jua tatizo liko wapi, je level ya elimu ya hao wanawake ni ipi? Kwa hapa ofisini kwetu shida tunazisikia kwa watu wa level ya chini. Kwa walioenda shule sana tunawaona wako busy sana na mambo yao. Yaani hawana hata muda wa kujua fulani kavaa nini anaendesha gari gani wao wanafikiria kuandika miproposal na kupata pesa. Wanaume hata kama wanaoneana wivu huwa hawaonyeshani kama wanawake wanavyofanya labda kwa kuwa wanaume wamelelewa wakijiamini
 
Back
Top Bottom