Binti Sayuni, kiukweli kabisa kutoka ndani ya moyo wangu, katika suala zima la upendo, mimi sio tuu napenda kwa dhati, bali nina upendo wa mshumaa!, naweza kumulikia wengine huku kwangu kunateketea!.Watu wanatumia Ids fake humu na wapo nyuma ya keyboards .Mna uhakika gani mi wanawake ndo wame comment!?? Hizi ni hoja nyepesi sana ukizingatia majibu ya.member wengi humu ni ya ajabu ajabu wala hayana chembe ya upendo.Tuseme tu kwa ujumla WATU hatupendani au WATANZANIA hatupendani .Hakuna cha wanawake wala wanaume.Wengi wakatili hadi unashangaa.Wewe mwenyewe mleta mada Pasco hebu jichunguze kama una upendo wa kweli au unafiki tu..
Asilimia kubwa zaidi ya wanawake nuksi tena ole wako ukaombe kazi ofisin halafu umkute yeye ndio incharge halafu manshalah mtoto wa kike ukute mungu kakujalia thubutuu ajira utaisikilizia kwenye bomba wanaume nawapa saluti sana mtu mnakuta hawajuani wamekutana sehemu watasaidiana utafikiri walijuana miaka kumi iliyopita .
Kweli hatupendani;
Hata sababu yenyewe siijui ila hatupendani kabisa;
Hawapendi kwa kua wanaroho za kutopendana,mwanamke yuko tayari kumpigia hesabu mwenzie kuanzia kiatu alichovaa mpaka nguo ya ndani.
Akijua gharama ni ndogo anamdharau akijua ni kubwa kumzidi yeye basi anamchukia
Women, what does it take to accept that there are women prettier than you?
Unakuta wanawake wanakuonyesha attitude, hamjuani, ankuanza dole la mguuni anakupandisha mpaka juu.
I am a woman but kwa kweli this makes me sick!
Asilimia kubwa zaidi ya wanawake nuksi tena ole wako ukaombe kazi ofisin halafu umkute yeye ndio incharge halafu manshalah mtoto wa kike ukute mungu kakujalia thubutuu ajira utaisikilizia kwenye bomba wanaume nawapa saluti sana mtu mnakuta hawajuani wamekutana sehemu watasaidiana utafikiri walijuana miaka kumi iliyopita .
Japo nakiri pia kuna wanawake vwa aina mbili!, wanawake ambao wameumbwa kike, but they think like men!, hawa hawana chuki!. The same applies to men, kuna wanaume suruali tuu, but the think kikike kike!.Mimi ni mwanamke lakini nakusapoti asilimia 100, japo huwa hatuukubali ukweli lakini sisi hatupendani hata kidogo
Wewe wadharau wala wasikuumize kichwa muhimu maisha yako yanaendelea na wala hakuna anayekudai, na pia hutii huruma kwa mtu yoyoteHata mi hua nashangaa kwa nini wanawake wengi hawanipendii cha ajabu hata pesa sina sijui ningekua nazo wangekufa kwa chuki !!!!ila sio wote hatupendan baadhii tu ila wengi wetu tuna chukii na wivu hata awe rafiki wa karibu usimuaminii!!