Katika kosa ambalo hatutakiwi kulifanya ni kuondoa jeshi kule.
Ni vema tukatafuta njia huru zaidi ya kushughulika na Congo nje ya mwamvuli wa UN hata ikibidi tujiundie kundi letu la waasi au kutafuta namna ya control Kinshasa.Mwalimu Nyerere alikuwa na guts za hivyo.Aliona mbali sana.
Tukiiacha Congo kama ilivyo sasa,kuna siku karma itatujia,maana anayetamani coltan ya Congo anaweza kutamani bandari ya Dar pia!
Utajiri wa Congo ukiingia ukajaa mikononi mwa hawa selfish wetu wa E.Africa,kuna siku watautumia huo utajiri kupata na utajiri wa Tanzania.
Ni vema tukatafuta njia huru zaidi ya kushughulika na Congo nje ya mwamvuli wa UN hata ikibidi tujiundie kundi letu la waasi au kutafuta namna ya control Kinshasa.Mwalimu Nyerere alikuwa na guts za hivyo.Aliona mbali sana.
Tukiiacha Congo kama ilivyo sasa,kuna siku karma itatujia,maana anayetamani coltan ya Congo anaweza kutamani bandari ya Dar pia!
Utajiri wa Congo ukiingia ukajaa mikononi mwa hawa selfish wetu wa E.Africa,kuna siku watautumia huo utajiri kupata na utajiri wa Tanzania.