Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,483
- 40,498
- Thread starter
- #21
Waambie mkuu,labda watakusikiaUnaagiza juice moja tu??? pigeni bia acheni wenge nyie
Waambie mkuu,labda watakusikiaUnaagiza juice moja tu??? pigeni bia acheni wenge nyie
Sio kwelTatizo walevi waongo Sana..
Kwa nini mkuuMmmhh ila kulala kitanda kimojana mlevi alafu wewe usiwe mlevi Ni changamoto
Mnanuka na harufu ya pombe kama mataptap yani utafkiri ulitumbukizwa kwenye pipa la taptapKwa nini mkuu
ha ha ha haMnanuka na harufu ya pombe kama mataptap yani utafkiri ulitumbukizwa kwenye pipa la taptap
Acha hizo mjumbe!.Mnanuka na harufu ya pombe kama mataptap yani utafkiri ulitumbukizwa kwenye pipa la taptap
HahahahaAcha hizo mjumbe!.
Kweliha ha ha ha
There is truth in wine...Anaweza kukuambia anakupenda akiwa na pombe kichwani lakini ukawa uongo
huwa tukimaliza kunywa tunapiga mswaki kabla ya kulala;baada ya hapo ni utamu mpaka mwishoKweli
Labda ww huko ulipo sio kila.mtu anatabia ya kupiga mswaki usikuhuwa tukimaliza kunywa tunapiga mswaki kabla ya kulala;baada ya hapo ni utamu mpaka mwisho
Wanasifa ya kukamatia sebene kwa kiwango cha hali ya juuLabda ww huko ulipo sio kila.mtu anatabia ya kupiga mswaki usiku
Kasema naniWanasifa ya kukamatia sebene kwa kiwango cha hali ya juu
Watafiti...Kasema nani
Hilo nmesikia kwa wanywaji wa pombe kali tuWatafiti...
ha ha haHilo nmesikia kwa wanywaji wa pombe kali tu
Ndo nakwambia naskia wale wa whisky ni wa kuwakimbiaha ha ha
Mmmhh ila kulala kitanda kimojana mlevi alafu wewe usiwe mlevi Ni changamoto