Susy kafiwa na Dada yake leo asubuhi

Pole sana SUZY na ndugu wote, Mungu awape nguvu, uvumilifu na faraja katika kipindi hiki kigumu. Pumzika kwa amani dada.
 

Attachments

  • images.jpg
    images.jpg
    2.3 KB · Views: 91
Jipe moyo mkuu Susan. It pains pale unapolikosa tabasamu lake na ushauri, lakini kumbuka ndiyo safari yetu sote, tatizo mtu akitangulia anatuachia majonzi.

RAHA YA MILELE UMPE EE BWANA,
NA MWANGA WA MILELE UMWANGAZE.
APUMZIKE KWA AMANI.
AMINA.
 
Pole Susy, Mungu awape wafiwa wote moyo wa uvumulivu katika kipindi hiki kigumu.

Dena asante kwa taarifa.
 
Pole sana Sussie.

Mungu akupe moyo wa uvumilivu na dada yetu aRIP. AMEN.
 
Nimepokea taarifa leo asubuhi kuwa Dada wa member mwenzetu Susy amefiwa na Dada yake aliyekuwa akiishi Gongo la mboto.

Msiba huo umetokana na madhara ya mabomu yaliyotokea gongo la mboto.

Taarifa za msiba ulipo nitawafahamisha hapo baadae.

Bwana alitoa Bawana ametwaa jina la bwana lihimidiwe.

DA

dah! pole susy, aisee.
hapo red umenipoteza dena.
 
Asante Da Dena kwa taarifa,
Mungu ampe faraja da Suzy katika kipindi hiki kigumu!
Pole sana da suzy .
 
poleni sana wafiwa wote.

yote ni kazi ya Bwana, haina makosa

Jina la Bwana na lihimidiwe
 
Pole sana susy, mungu akutie nguvu

dena tunashukuru kwa taarifa
 
Pole sana SUSY. Hiyo yote ni mipango M/MUNGU. Uwe na subira. Njia yetu ni moja tu yeye katangulia na sisi tumafuata. Mungu amjaalie marehemu anakokwenda kuwe kuzuri. Ameen.
 
Back
Top Bottom