Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,431
Pole sana Suzy
Mungu awape nguvu wote katika kipindi hiki cha majonzi
Mungu awape nguvu wote katika kipindi hiki cha majonzi
Nimepokea taarifa leo asubuhi kuwa Dada wa member mwenzetu Susy amefiwa na Dada yake aliyekuwa akiishi Gongo la mboto.
Msiba huo umetokana na madhara ya mabomu yaliyotokea gongo la mboto.
Taarifa za msiba ulipo nitawafahamisha hapo baadae.
Bwana alitoa Bawana ametwaa jina la bwana lihimidiwe.
DA