Sura sio umri

Sura sio umri

TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
11,200
Reaction score
22,490
1000077049.jpg

#MICHEZO: Golikiwa wa Klabu ya Jamus FC Goodwill Yugusuk ameitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Sudan Kusini ya vijana wa chini ya umri wa miaka 23.

Yagusuk pia amewahi kuiwakilisha Sudan Kusini katika kikosi cha chini ya miaka 20, pia timu ya Taifa ya wakubwa.

Kinda huyo kwa sasa ana umri wa miaka 22 PEKEE na anatarajia kutimiza miaka 23 mwezi januari mwaka 2027.

Sura siyo umri au hapa kuna udanganyifu?

✍: @nickymeena_

#Michezo #Hainakuchoka #EastAfricaTV
 
View attachment 3665514
#MICHEZO: Golikiwa wa Klabu ya Jamus FC Goodwill Yugusuk ameitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Sudan Kusini ya vijana wa chini ya umri wa miaka 23.

Yagusuk pia amewahi kuiwakilisha Sudan Kusini katika kikosi cha chini ya miaka 20, pia timu ya Taifa ya wakubwa.

Kinda huyo kwa sasa ana umri wa miaka 22 PEKEE na anatarajia kutimiza miaka 23 mwezi januari mwaka 2027.

Sura siyo umri au hapa kuna udanganyifu?

✍: @nickymeena_

#Michezo #Hainakuchoka #EastAfricaTV
Watu wa Sudani ndivyo walivyo, mbona nguo na viatu vya watoto wa marekani ni kubwa kwetu, hakuna anayethubutu kuagiza mitumba toka marekani.
 
Kawaida kabisa kwa wasudani tena ukienda kwao utashangaa sana we huoni nyuma yake hapo Kuna kinda mwingine wa miaka 19
 
View attachment 3665514
#MICHEZO: Golikiwa wa Klabu ya Jamus FC Goodwill Yugusuk ameitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Sudan Kusini ya vijana wa chini ya umri wa miaka 23.

Yagusuk pia amewahi kuiwakilisha Sudan Kusini katika kikosi cha chini ya miaka 20, pia timu ya Taifa ya wakubwa.

Kinda huyo kwa sasa ana umri wa miaka 22 PEKEE na anatarajia kutimiza miaka 23 mwezi januari mwaka 2027.

Sura siyo umri au hapa kuna udanganyifu?

✍: @nickymeena_

#Michezo #Hainakuchoka #EastAfricaTV
Hayupo kwenye 60s kweli?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom