donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,042
- 21,517
Jamaa bonge la mpuuzi utakunywaje supu na juice.....!!?Supu na juice ☹️
😀😀😀 tararibu mkuu. Ujue humu kuna uzi wa vyakula? Post kama hii inatakiwa iende kule, huyu yeye anakosea kila anachokula anakifungulia thread.Ninyi wote mnaopiga picha chakula kabla hamjala ni maboya.
Itakua katokea kanda ileJamaa bonge la mpuuzi utakunywaje supu na juice.....!!?
Kuna siku tumbo lilimkana ila bado hakomi!Jamaa bonge la mpuuzi utakunywaje supu na juice.....!!?
Rafiki hivi vyakula ulivyoorodhesha vinatoa corbon monoxide hatari sana baada ya kuchakatwa tumboni.Haujakoma?Ngoja uumwe tena tumbo.Linda sana tumbo lako.Penda kula viazi vilivyochemshwa,mtindi,maziwa fresh,juice za matunda mbalimbali,dona,karanga mbichi,matunda,mboga za majani,nafaka za ngano,mtama,mihogo,supu ya samaki na kadhalika.
Jamaa bonge la mpuuzi utakunywaje supu na juice.....!!?
Baki na juisi nipe hii ongeza limao na pilipili
Msalato JumamosiUpo Chako Ni Chako
Ama Msalato!!
Royal VillageMsalato Jumamosi
Huyu bado amelewa, huoni hata hiyo supu hapo ni Bar.Jamaa bonge la mpuuzi utakunywaje supu na juice.....!!?
Rafiki gari bila kutoa moshi kwenye exhaust haliwezi kuwa hai!Rafiki hivi vyakula ulivyoorodhesha vinatoa corbon monoxide hatari sana baada ya kuchakatwa tumboni.
😂😂😂😂Rafiki gari bila kutoa moshi kwenye exhaust haliwezi kuwa hai!
Ahsante Kwa kunijuzaRoyal Village
Pale PSSSF Kwenye Cinema
Ni kweli sababu tunaelea, according to the law of floatationNinyi wote mnaopiga picha chakula kabla hamjala ni maboya.