Supu ya pweza Vs Juice ya tende

Supu ya pweza Vs Juice ya tende

Kwa taarifa niliyoipata ni kwamba miss strong na heaven on earth wanataka kufungua mgahawa wa supu ya pweza maeneo ya kinondoni, hapa wanafanya tathmini na kuhamasisha na kampeni ya " pata supu ya pweza hapa".

Wateja inaonesha tutapata wa katosha we ukiwa mmoja wao
 
Last edited by a moderator:
Lakini mkuu hili jukwaa si ndio mahali pake? Au wewe ulifuata nini hapa? UKAWA na TZ KWANZA??
nadhani kuna mengi ya kusaidiana kwa upande wa hili jukwaa...sasa kila siku...kwichi kwichi tuuu....mmmh...nimekosea njia...siji tenaaa humu!
 
nadhani kuna mengi ya kusaidiana kwa upande wa hili jukwaa...sasa kila siku...kwichi kwichi tuuu....mmmh...nimekosea njia...siji tenaaa humu!

Teh teh wasalimie ila supu imebaki
 
kuna ukweli fulani hapo mkuu , hizo vyakula zinaongeza hamu ya tendo.........

ila ile performance ya tendo lenyewe lipo zaidi kisaikolojia.

kupiga show ya nguvu au legelege , ya kasi au taratibu , ya kusisimua au kuboreka n.k....... hiyo yote inabidi ianzie kichwani kwa muhusika.
Mkuu habari ndio hiyo!
 
wazee wafanye mapinduzi mara ngapi.......

ungeweka wazi kwamba ni mapinduzi ya kipesa a.k.a finacial revolution..

Vinginevyo, mtabaki tu kwa vijana wenzenu tu, kuna kizee gani mjini hapa cha kwenda dakika 120? hakuna!

Moja tu jumlisha usingizi, ukishapewa misimbazi 10 tu, unamsaka age met wako mnabanjuana vizuri sasa!

Pesa Kwanza.... otherwise wangekuwa wanawaoa sasa!
 
kiepeee yaiii ale mtoto wakiume kwa mtizamo wakoo kivip awe productive kwenye 6 kwa 6????(hawaa vijana wa kisasa) wazee wetuu enzi zao hawakupataa hizoo lishe ni mwendo wa ugaliii na majan ya kundee mtu anakua na protein na nguvuuu za kutoshaaa ndiooo maaana zamani ikawaaa historiaaaa ndg tafautna sasa
 
Back
Top Bottom