Supu ya pweza Vs Juice ya tende

Supu ya pweza Vs Juice ya tende

Nyinyi vijana hamkuona kikwete akinunua samaki yule. Yule mzee heshima anayo kitaa mpaka magogoni. Chezea mzee wa pwani!


The King.
 
duh! sasa wewe unataka ku-describe emotion? kumbeka hapa unazumgumzia hisia huwezi kusema eti raha unayopata wewe ni zaidi yangu mie. there is no object way of measuring that raha. its all subjective.

kumbeka ndio lugha gani....

supu ya pweza kwa manufaa ya mahusiano yako....
 
Kwa taarifa niliyoipata ni kwamba miss strong na heaven on earth wanataka kufungua mgahawa wa supu ya pweza maeneo ya kinondoni, hapa wanafanya tathmini na kuhamasisha na kampeni ya " pata supu ya pweza hapa".
 
Last edited by a moderator:
hivi ni baadhi ya vyakula vya kuboost hamu ya kungonoka.......

parachichi(hii na kwa mwanamke pia)
pilipili
asali
ndizi mbivu
cocoa
chocolate
kahawa
pweza
 
Habari zenu wana jamii.....

Kama heading inavyojielezea jamani,kumekuwa na ongezeka la wauza supu ya pweza na juice ya tende mixer maziwa,Nilipojaribu kudadisi kwa undani zaidi haswa kwa watumiaji wa hizo bidhaa wanasema inasaidia kuleta heshima ndani ya nyumba.

Sasa nina maswali maana kumekuwa na malalamishi juu ya lower performance ya wanaume wengi inapelekea tunakosa raha jamani.

Kama hivyo ongezeni dozi ya hiyo supu jamani maana tunashindwa kuelewa tuwaweke kundi gani na mbona vijana wa zamani kama babu Asprin hawakuwa wanalalamikiwa namna hii???

Jitahidini la sivyo hao mnaoita wazee watafanya mapinduzi.

Jumapili njema!!!!!----------->>>ndukiiii
asilimia tisini ya post za wewe dada zinahusu mambo ya ngono, na ulishasema haujaolewa una bf. nakuhakikishia kuwa kama hautaolewa au kumkimbilia Mungu utapata ngoma muda si mrefu au pengine tayari, kwasababu unaonekana una pepo mahaba la ngono muda wote unawaza hayo tu ndiyo yalioujaza moyo wako. una umri gani wewe na unasali dadangu?
 
Kwanza hata hizo tende na pweza mchango wake ni wa kisaikolojia tu mtu anajitutumua kwa imani kwamba imemsaidia!

kuna ukweli fulani hapo mkuu , hizo vyakula zinaongeza hamu ya tendo.........

ila ile performance ya tendo lenyewe lipo zaidi kisaikolojia.

kupiga show ya nguvu au legelege , ya kasi au taratibu , ya kusisimua au kuboreka n.k....... hiyo yote inabidi ianzie kichwani kwa muhusika.
 
asilimia tisini ya post za wewe dada zinahusu mambo ya ngono, na ulishasema haujaolewa una bf. nakuhakikishia kuwa kama hautaolewa au kumkimbilia Mungu utapata ngoma muda si mrefu au pengine tayari, kwasababu unaonekana una pepo mahaba la ngono muda wote unawaza hayo tu ndiyo yalioujaza moyo wako. una umri gani wewe na unasali dadangu?

Kahubiri injili mbele ya safari.....wewe hapo ulipo ni bikra??Je ngono hufanyi??au ni msafi??Ha ha ha usitukane mamba ungali hujavuka ng'ambo.Hata hivyo karibu upate supu ya pweza
 
Kwa taarifa niliyoipata ni kwamba miss strong na heaven on earth wanataka kufungua mgahawa wa supu ya pweza maeneo ya kinondoni, hapa wanafanya tathmini na kuhamasisha na kampeni ya " pata supu ya pweza hapa".

Nina mpango wakufungua maana watumiaji wameongezeka....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom