miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,694
Habari zenu wana jamii.....
Kama heading inavyojielezea jamani,kumekuwa na ongezeka la wauza supu ya pweza na juice ya tende mixer maziwa,Nilipojaribu kudadisi kwa undani zaidi haswa kwa watumiaji wa hizo bidhaa wanasema inasaidia kuleta heshima ndani ya nyumba.
Sasa nina maswali maana kumekuwa na malalamishi juu ya lower performance ya wanaume wengi inapelekea tunakosa raha jamani.
Kama hivyo ongezeni dozi ya hiyo supu jamani maana tunashindwa kuelewa tuwaweke kundi gani na mbona vijana wa zamani kama babu Asprin hawakuwa wanalalamikiwa namna hii???
Jitahidini la sivyo hao mnaoita wazee watafanya mapinduzi.
Jumapili njema!!!!!----------->>>ndukiiii
Kama heading inavyojielezea jamani,kumekuwa na ongezeka la wauza supu ya pweza na juice ya tende mixer maziwa,Nilipojaribu kudadisi kwa undani zaidi haswa kwa watumiaji wa hizo bidhaa wanasema inasaidia kuleta heshima ndani ya nyumba.
Sasa nina maswali maana kumekuwa na malalamishi juu ya lower performance ya wanaume wengi inapelekea tunakosa raha jamani.
Kama hivyo ongezeni dozi ya hiyo supu jamani maana tunashindwa kuelewa tuwaweke kundi gani na mbona vijana wa zamani kama babu Asprin hawakuwa wanalalamikiwa namna hii???
Jitahidini la sivyo hao mnaoita wazee watafanya mapinduzi.
Jumapili njema!!!!!----------->>>ndukiiii
Last edited by a moderator: