Supu ya pweza Vs Juice ya tende

Supu ya pweza Vs Juice ya tende

mie nna mzee wangu shughuli si haba, na kulea wanajua
hawa vijana wa chips mayai goli moja chali

hahaaaaa semen nyie wachovu tu ndo maana mnakimbilia kwa wazee goli moja na mshipa kwa ngiri una mshika hawez tena.lengo lenu mshiko wa bwelele kwa wazee.
 
Tende+ Asali+ Maziwa fresh vi-blend pamoja tia kwenye glass yako....uwe unakunywa mara kwa mara. Mwanaume utakuwa unashughulika hadi raha na kama una mwanamke ambae mikiki ya sita kwa sita kajaaliwa...mbona burdaaani!


Maziwa ukichanganya na asali ni sumu
 
Tende.JPG

Tende zitakua adimu sasa.
Tende husaidia pia kwenye mambo ya malavi davi. Iloweke tende kwenye maziwa ya mbuzi usiku, asubuhi changanya maziwa hayo na asali kisha kunywa, njia hii husaidia kuongeza nguvu na stamina za kufanya mapenzi.
 
Nikisema wabongo akili ziko upande wa chini mnaanza kuja mkitokwa povu!
 
Nikisema wabongo akili ziko upande wa chini mnaanza kuja mkitokwa povu!

Lakini mkuu hili jukwaa si ndio mahali pake? Au wewe ulifuata nini hapa? UKAWA na TZ KWANZA??
 
Mimi nakunywa juisi ya tende kama kinywaji cha kawaida tu
 
HaHaHaaa! menifurahisha sana wajukuu zangu,thatha mnipe contact zenu,niwape siri
 

Attachments

  • 1407669471432.jpg
    1407669471432.jpg
    8.9 KB · Views: 242
Teh teh teh......yaani wanatuchosha.

Nyinyi kuweni wazi kuwa mna mpango na pesa za vizee: ukikuta babu anapiga gemu ujue kabwia kidonge cha blue muulize Babu Asprin huwa ananituma nika mnunulie.

Cc: Heaven on Earth
 
Nyinyi kuweni wazi kuwa mna mpango na pesa za vizee: ukikuta babu anapiga gemu ujue kabwia kidonge cha blue muulize Babu Asprin huwa ananituma nika mnunulie.

Cc: Heaven on Earth

Teh teh teh wewe vijana wa siku hizi kwisha habari.Yaani mtu mpk napata muda wa kusoma novel katikat ya game!!!!
 
Back
Top Bottom