klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
hapo red ni mbegu adimu kweli hiyo kwa kizazi cha leo! eniwei kuna baadhi ya issues hauwezi kuziongea kiuwazi face to face hata na mzazi wako. So nadhani social networking ni the best option ya kushare kwa baadhi ya kesi.kwa aibu zangu mimi,kwangu mimi,ni best option.kulooongaaa weeeee,nikamwaga kila kitu face to face,huwa siwezi.huwa inachukuwa muda mrefu,kumzoea mtu na kuunda urafiki