Heaven Sent
Platinum Member
- Sep 27, 2013
- 32,719
- 98,386
- Thread starter
- #121
I'm touched. Thanks muchPole sana Heaven Sent kwa kuondokewa na kipenzi Baba yako. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. Kuna siku utakuwa unamkumbuka sana na hata kufikia kulia na kuna siku utamkumbuka na kukuletea tabasamu kubwa ukikumbuka mambo mbali mbali ya baba na binti yake yakiwemo maongezi mbali mbali. Mungu awape nguvu na subira kipinfi hiki kigumu kwenu cha kumkumbuka kipenzi Baba yenu.
![]()
