Support niliyoipata kutoka JF, thank you all

Support niliyoipata kutoka JF, thank you all

Mume wangu kipenzi Kaboom
Aisee kwa sasa hapana, bado najiuguza.
Huyu si kuna uzi nilikut anajadithia watu kuwa kakamatwa/kasaswa na judith wa corner bar?
Ushaliwa.
Pole sana mway lakini, badae nikutoe out usikae sehem moja upweke
 
Licha ya kufiwa ma kukaa kama siku tatu hivi (nadhani) bila kuingia Jf ulikuja kwenye ule uzi wa TANZIA na ku like kila koment kuashiria shukrani mpaka page ya 45 uli like kila comment ya Mwana Jf kuashiria unaitambua comment yake.
Yesu Kristo akawe mfariji wenu. Baba apumzike kwa Aman
 
Huyu si kuna uzi nilikut anajadithia watu kuwa kakamatwa/kasaswa na judith wa corner bar?
Ushaliwa.
Pole sana mway lakini, badae nikutoe out usikae sehem moja upweke
Kwahiyo unaweka chumvi kwenye kidonda?
 
Ndo kwanza nlikua napitia post yako aisee pole sana na.sikujua kama ulipatwa msiba,but maandiko yako yanaonesha busara yako pole sana
 
Poleh sana may he rest in peace, japo naomba kuuliza ni Mh.speaker mstaafu (may he rest in peace ) au
 
baba yetu ameenda na afike kwa amani mahala pema, may allah rest his soul in peace
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom