badiebey
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 5,875
- 3,117
hahahha,like me ntaendelea kukupa mumy,..af mbna me nahisi we mrembo sn
Last edited by a moderator:
Mmhhh inataka kuimeza Jf
hahahha,like me ntaendelea kukupa mumy,..af mbna me nahisi we mrembo sn
Avatar yako kama mdoli wa maduka ya kihindi...
Aisee naenda kujinyongaa!!!!halaf rambi rambi zangu msikabizi chriss lukos wen utaniwekea ndani ya jeneza langu ili nikatanue na washikaji zangu ntakaowakutaa huko
Akikusikia mwenzio , kashatoa onyo atakupeleka mahakamani kwao Iringa.
Ulivyo ni zaid ya hyo avatar uliyoweka. I'm so lucky to have u
Mkuu avatar yake ni hatari imekufanya umejua sifa zote alizonazo eeeeeeeehhhhh duh
umekariri kijana,
si kila mtu hapa kwa sababu we humjui kila mtu atakuwa hamjui,..
afu kukariri kulivyokubaya sasa.
avatar ya mpenzi wangu umeiangalia vizuri lakini.?
JOKES hizo, hivi mkuu vyote vilivyoongewa kwenye huu uzi unazani halisi.
Uuuuu nisaidie kufutaa mayoweeeee nishasahauu
Usihofu nitakuwa wakili wako msomi kwenye kukutetea hlo
Akishindwa kukutetea jela yako ndugu shaurilo.Asavali!!!!!!! Uko wapi we mla rambi rambi hunitishii nishapata wakili msomi mieeeee lisu cha mtotoo