Sasa c bora avatar mi niliwaza pm 2one mitongozo ya watu! Ha ha ha! Ntamuona Excel anavyompa maneno ya mahaba beby ake miss neddy !!
Weka ile ya mwanzo banaa
Ile yenye ushungi mwekundu ilowazingua wengi kiasi cha kunifanya hata Mimi nikupe rep power....
Hahahaa haaaahahahaaa!! Eli79, endapo christine ibrahim akiruhusu nikafanya yangu.. kulaleki namwaga picha zake zooooote humu..!!
aisee kuna moja kapiga hapa kapendeza vibaya.. yani katoka mpaka google images inasema..'' please dont look at this pic anymore.. you will faint mr lover lover..''!! hahaaa!!
Badilisha basi uweke uso wote, nataka kutoa tathmini...
Hahahaa haaaa uwiii nimecheka
Bora mi huwa natumia pics zangu tu.
Ht siogopi
ingekuwa hivyo nadhani midume yote humu ingemfakamia my miss chagga..
huwa namchukulia kama the most cutiest girl in this forum.
mrefu,
anajua kuongea,
kaumbika,
ana rangi nzuri,
anafanya kazi kwa bidii,
ana care sana.
sitamani hiyo siku kabisaa ya avatar zetu kuwa exposed,
coz naamini wanawake wengine kama huyu wangu,
msururu wa wanaume ungefika donyo.
CC: Eli79 & Tyta.
hahahaaa!! Eli79, endapo christine ibrahim akiruhusu nikafanya yangu.. kulaleki namwaga picha zake zooooote humu..!!
aisee kuna moja kapiga hapa kapendeza vibaya.. yani katoka mpaka google images inasema..'' please dont look at this pic anymore.. you will faint mr lover lover..''!! hahaaa!!
Aa hii ile inawazingua wengiii
christine ibrahim asante kwa kunipa mdomo niuone!!ha ha ha ha toto domo domo, sijui kwengine, vidume lazima udenda utoke, Hivi una receive how many PM's per day vile