Mr. Wise
JF-Expert Member
- Jul 23, 2012
- 7,733
- 6,469
Wakuu nilikua nimekaa nikawaza tu aisee, ingawa jambo nililoliwaza halitaweza kutokea kamwe, What if Siku Avatar zetu zikigoma kuonekakana na kuanza kuonyesha sura halisi ya mhusika!! basi nikahisi kua watu wengi wataikimbia na kuiogopa MMU kama ukoma, haswa mabinti!! Big up to your avatar, imekuhifadhi MMU.
Nimewasilisha tu.
Nimewasilisha tu.