Swordfisher
JF-Expert Member
- May 1, 2013
- 233
- 37
Jamani kama kuna mtu anayeuza chupa tupu zenye seals na vizibo vyake ziwe za plastiki au za glasi naomba ani PM tafadhali.
Niko Dar es salaam. Haufahamu supplier yeyote Dsm?kama uko Arusha nenda kiwanda cha a to z .
Sawa Mkuu, ngoja nitamtafuta.Dar kuna mmoja namfahamu, sina contact ila naweza kukuelekeza ukamtafute, ana varieties yingi za makopo etc.. Nenda pale TRA mwenge, upande wa pili wa jengo la TRA mwenge kuna barabara inashuka chini... Nenda nayo hiyo barabara kwa mbele mkono wa kulia lipo hilo duka.