Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,557
- 3,000
Wanazengo mnaendeleaje?
Wenye kumbukumbu wanakumbuka video tofauti ambazo ziliwaonesha baadhi ya wanawake wakichezea chupa za soda mfano mirinda kwa ustadi wa hali ya juu kitu ambacho kiliwastaajabisha watu na kuanza kuitaja soda fulani kama matani au mzaha
Japo siyo jambo geni ila miaka michache baadae naona kuna mdororo wa ununuzi wa hizi soda kwa kiasi kikubwa mno.
Nataka kujua je vitendo vya hawa madada vimeweza kuathiri bidhaa katika soko au ni ushindani wa kampuni nyingine za juice?
Wenye kumbukumbu wanakumbuka video tofauti ambazo ziliwaonesha baadhi ya wanawake wakichezea chupa za soda mfano mirinda kwa ustadi wa hali ya juu kitu ambacho kiliwastaajabisha watu na kuanza kuitaja soda fulani kama matani au mzaha
Japo siyo jambo geni ila miaka michache baadae naona kuna mdororo wa ununuzi wa hizi soda kwa kiasi kikubwa mno.
Nataka kujua je vitendo vya hawa madada vimeweza kuathiri bidhaa katika soko au ni ushindani wa kampuni nyingine za juice?