Riwa Platinum Member Oct 11, 2007 2,607 3,068 Jun 12, 2012 #2 Hivi kuna tofauti gani kati ya 'beautiful' na 'gorgeous'....huyu dada ningemuita beautiful...gorgeous mmh mmh!
Hivi kuna tofauti gani kati ya 'beautiful' na 'gorgeous'....huyu dada ningemuita beautiful...gorgeous mmh mmh!
Ambitious JF-Expert Member Dec 26, 2011 2,144 875 Jun 12, 2012 #3 Ngoja nikamnunulie ile Rav 4 5 doors inayotangazwa na Petera Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
MadameX JF-Expert Member Dec 27, 2009 7,792 3,848 Jun 12, 2012 #5 Hiyo picha yangu umeipata wapi Boflo, hiyo ilikuwa kabla sijaanza kutotoa Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Dotworld JF-Expert Member Aug 10, 2011 4,035 3,773 Jun 12, 2012 #6 Boflo said: ............... Click to expand... . ............................................... .
Chibidu JF-Expert Member Dec 19, 2008 387 49 Jun 12, 2012 #7 MadameX said: Hiyo picha yangu umeipata wapi Boflo, hiyo ilikuwa kabla sijaanza kutotoa Click to expand... Hebu tuwekee current photo yako basi ilituweze kulinganisha kama bado uko super hivi au tayari kwishne.
MadameX said: Hiyo picha yangu umeipata wapi Boflo, hiyo ilikuwa kabla sijaanza kutotoa Click to expand... Hebu tuwekee current photo yako basi ilituweze kulinganisha kama bado uko super hivi au tayari kwishne.
Tangawizi JF-Expert Member Jun 25, 2009 5,171 3,893 Jun 12, 2012 #8 MadameX said: Hiyo picha yangu umeipata wapi Boflo, hiyo ilikuwa kabla sijaanza kutotoa Click to expand... Madam...umetotoa vifaranga wangapi? Kutotoa isiwe sababu ya kuachia tumbo la mfumuko kama wa bei za bidhaa. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
MadameX said: Hiyo picha yangu umeipata wapi Boflo, hiyo ilikuwa kabla sijaanza kutotoa Click to expand... Madam...umetotoa vifaranga wangapi? Kutotoa isiwe sababu ya kuachia tumbo la mfumuko kama wa bei za bidhaa.
brazilian JF-Expert Member Feb 10, 2012 604 112 Jun 12, 2012 #9 Sisi wengine size hizo hatumind sana. hasa nikiona hizo Clavicles mhnnnnn -unaweza weka kikombe kizima cha maji
Sisi wengine size hizo hatumind sana. hasa nikiona hizo Clavicles mhnnnnn -unaweza weka kikombe kizima cha maji
brazilian JF-Expert Member Feb 10, 2012 604 112 Jun 12, 2012 #10 Sisi wengine size hizo hatumind sana. hasa nikiona hizo Clavicles mhnnnnn -unaweza weka kikombe kizima cha maji
Sisi wengine size hizo hatumind sana. hasa nikiona hizo Clavicles mhnnnnn -unaweza weka kikombe kizima cha maji
Tangawizi JF-Expert Member Jun 25, 2009 5,171 3,893 Jun 12, 2012 #11 MadameX said: Hiyo picha yangu umeipata wapi Boflo, hiyo ilikuwa kabla sijaanza kutotoa Click to expand... Madam...umetotoa vifaranga wangapi? Kutotoa isiwe sababu ya kuachia tumbo la mfumuko kama wa bei za bidhaa. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
MadameX said: Hiyo picha yangu umeipata wapi Boflo, hiyo ilikuwa kabla sijaanza kutotoa Click to expand... Madam...umetotoa vifaranga wangapi? Kutotoa isiwe sababu ya kuachia tumbo la mfumuko kama wa bei za bidhaa.
IGWE JF-Expert Member Feb 3, 2011 9,463 7,384 Jun 12, 2012 #14 boflo said: View attachment 56171 ............... Click to expand... dada mzuri ila wanapojikondesha ndio wanaponiuudhi mimi.
boflo said: View attachment 56171 ............... Click to expand... dada mzuri ila wanapojikondesha ndio wanaponiuudhi mimi.
kijembeee JF-Expert Member Jun 6, 2012 409 105 Jun 12, 2012 #15 nimetafuta kasoro nimekosa,ngoja niseme tu kwenye uzuri anajitahidi ila io mifupa imesimama nadhani atakua anaumwa rickets,kiddin
nimetafuta kasoro nimekosa,ngoja niseme tu kwenye uzuri anajitahidi ila io mifupa imesimama nadhani atakua anaumwa rickets,kiddin
KML JF-Expert Member Apr 2, 2012 861 133 Jun 12, 2012 #16 huyu kaumbwa au kashushwa?? bila shaka kazaliwa kwa operesheni huyu
MadameX JF-Expert Member Dec 27, 2009 7,792 3,848 Jun 13, 2012 #17 Mnachotakiwa kumtukuze bwana kwa uumbaji
Kunta Kinte JF-Expert Member May 18, 2009 3,687 1,278 Jun 13, 2012 #18 MadameX said: Hiyo picha yangu umeipata wapi Boflo, hiyo ilikuwa kabla sijaanza kutotoa Click to expand... Na kujiziriba marangi!!!
MadameX said: Hiyo picha yangu umeipata wapi Boflo, hiyo ilikuwa kabla sijaanza kutotoa Click to expand... Na kujiziriba marangi!!!