Ni vigezo gani wanatumia. Ktk peruz peruz yangu kuna wale nawaona mara kwa mara ila bado sijaona michango yao ya maana. Kuna membaz wana michango ya msingi sana sioni hata mmoja kutajwa. Wale majukwaa ya maana na
kujenga kama kule siasa, Tech and gadgets,
international forum, habari na hoja
mchanganyiko wao sio supa star? Napenda
nijuzwe hasa na hao ma super star
wenyewe.
Mmmmh!! Ngoja wakuibukie wasio na sifa hiyo...
Jibaba, Akiingia sana eneo la ikulu nishtue nikupatie mashine ya kutolea roho a.k.a mguu wa kukuJibaba mbona umeshangaa ndio JF hiyo..
dah kumbe na mimi superstar,thanks bhanaJf superstar jukwaa la utani/jokes hapo ni exellent. Hayo mengine hayatabiriki, kama jukwaa la siasa ndo kabisaaaaaa!
Ni vigezo gani wanatumia. Ktk peruz peruz yangu kuna wale nawaona mara kwa mara ila bado sijaona michango yao ya maana. Kuna membaz wana michango ya msingi sana sioni hata mmoja kutajwa. Wale majukwaa ya maana na kujenga kama kule siasa, Tech and gadgets, international forum, habari na hoja mchanganyiko wao sio supa star? Napenda nijuzwe hasa na hao ma super star wenyewe.
Masuper star wa JF ni wale waliojaza PM box zao si chini ya mara nne mwaka huu.
Hiyo imekaa kiupendeleo zaidi maana vigezo havijawekwa wazi. . .wewe si walikutaja?
Au unataka wakutaje tena??
Mie naogopa kweli hukawii kupakaziwa skendo
Hiyo imekaa kiupendeleo zaidi maana vigezo havijawekwa wazi. . .
Alafu skendo mbona nlishazoea.Hapa tena. . . kila mtu na lake.
Mi nilichokaje?
Kijana wangu si kidogo ashindwe kutembea dede
siyataki kabisa maskendo ya ustaa