min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,451
- 127,867
Mna amini fantastic nakutuma pesa kwa hawa nyumbu wanaojiita handsome ,ambao nao wanajiuza mamamaeeeIla unadhani kwanini tunaumia na mahusiano?!
Mna amini fantastic nakutuma pesa kwa hawa nyumbu wanaojiita handsome ,ambao nao wanajiuza mamamaeeeIla unadhani kwanini tunaumia na mahusiano?!
hata ivyo mama zetu wana akili sana hata kama hakwenda shuleYeah,.mama angekuwa mwanga...ingeisha hiyo...ndoa ni Jehanamu sometimes
Hapo ni mtunzi wa el-hadith ndiye mwamba aliyetulia na kutumia mbongo kuwafundisha waja.Mola aturehemu sana.Aiiiimiiin!Kisa kizuri ila nimewaza kama mama asingekuwa na busara mwanaume angepotezwa kwenye nyuso ya dunia
Daah...ila ndoa
Wanaotuma wanazo...Mimi nitoe wapi jamaniMna amini fantastic nakutuma pesa kwa hawa nyumbu wanaojiita handsome ,ambao nao wanajiuza mamamaeee
Kuvunjika moyo kila siku tena?Kwani mwisho wa limoyo kuvunjika ni mara ngapi ili uitwe limoyo mvunjiko/"buroken hati"!Usimseme,labda hana hela...ila ajiandae kuvunjika moyo sikuzote
Hakika 🙏Kuvunjika moyo kila siku tena?Kwani mwisho wa limoyo kuvunjika ni mara ngapi ili uitwe limoyo mvunjiko/"buroken hati"!
Mimi hili taifa linautambua mchango wanguVijana kama wewe ni mzigo kwa taifa.
Aaaa waap alafu anakunywa pombe zile za kupima akipata elf moja ana lewa nzwiiiii🤣🤣🤣Si mtu mbaya huyu jamaa,na kunywa ni maramoja moja sana
Unalipa kodi shi ngapi mkuuMimi hili taifa linautambua mchango wangu
Ni mdau mkubwa wa kulipa kodi
Wewe unatakiwa ufe taifa lisonge ,hakuna nchi inasonga kwa maombi .Mimi mwenyewe mtumish wa uma mtumish
Nyingi nyingi kakaUnalipa kodi shi ngapi mkuu
Sisi wana maombi ndo tunafanya nyie muendelee kuishiWewe unatakiwa ufe taifa lisonge ,hakuna nchi inasonga kwa maombi .
Kaka kuna watu wanapiga pesa humu na hawana kelele 😁 wewe weka namba uokote😁Nyingi nyingi kaka
Sikatai mkuu endelea kuniombea nipige pesa zaidiSisi wana maombi ndo tunafanya nyie muendelee kuishi