MTK
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 8,920
- 6,858
Hivi huyu Frederico Tluway Sumaye atazinduka lini ndotoni aweze kufanya maamuzi magumu!? majuzi tu kule Hanang wakati wa chagizi za ndani ya Chama chake alienguliwa kwa njama hizo hizo za rushwa leo; kina Mary Nagu wakapeta, akalalamika saaaaana; leo hii anatwambia kwamba bado anasubiri kujiridhisha na kitu gani tena! hivi Sumaye anasubiri mpaka yeye mwenyewe alanguliwe kwa rushwa ndio azinduke kwamba CCM haina dawa; CCM ni rushwa, ufisadi, ukatili na ujangili mpaka ahera!