macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 28,236
- 56,874
Sumaye ndio mgombea wa UKAWA!
Ukisikia ukawa unashikwa na haja nyembamba ehe! Na bado!
Sumaye ndio mgombea wa UKAWA!
Kasahau?
Tutamkumbusha neno luku limeanza kwa mradi wa kifisadi wa speed governor..ulobatizwa luku..huu ulikua mradi wake.
Pia mradi wa kukamata magari bila sababu za msingi wa majembe ulikua wake
Amesahau mashoga zake ? Nyumbani kwake wahindi walikua hawatoki?
Kuna mashamba kule moro !
NBC na mabenki yaliuzwa akiwa waziri mkuu
Nyumba za serikali wamejisaidia wapendavyo..
Kuna msemo nyani hsini k......
hivi huyu Sumaye si ndiye hata wanaCCM wenzake walikuwa wamuita Mr ZERO?