Sumaye: Nimenunua shamba kwa kiinua mgongo changu

Damu ya Waislamu wasio na hatia waliouawa kule Zanzibar na serikali yake bado inamlilia. Inasemekana yeye kama Waziri Mkuu na Mtendaji Mkuu wa Serikali ndiye alitoa amri.

Amri ya mwanajeshi kuingia ktk fatiq yoyote ile haitolewi na waziri mkuu bali ni raisi pekee tena kwa ku saini kibari hicho
 
Shamba mali ya Magereza wewe linakuhusu nini mpaka ulinunue..!!! Au kwa sasbabu ulikuwa madarakani ukatumia wadhifa wako.
 
CCM wanadhani Hatujui Wizi Wao.SaSa basis Mkitoa Kombora Moja UKAWA imatoa Mawili.... Si Mmejifanya Wasafi Ngoja yuone.Escrow Itafufuliwa uppya UKAWa Ikiingia Rasmi Ikulu.
 
Tumechoka na mfumo...mkoloni mweusi, silaha yoyote iliyombele yangu nitaitumia kumpiga adui...tukutane trh 25 oct
 
Tunadanganywa tupo katika vita na majangili wakati mapapa wa ujangili wanastarehe kwa mwamvuli wa serikali ya chama cha mapinduzi shenzi kabisa,nyie wakina kinana na wenzio subirini EL achukue nchi dili zenu feki zote zitakata mtashindia mihogo kama mwenzenu Dr.slaa
 
Aliyanunua akiwa CHADEMA au CCM?
Ni miaka mingapi imepita? Kama ni kosa, Mbona hakuna hatua iliyochukuliwa na serikali ya CCM?
Hizi siasa chafu hazitaisadia CCM.
 
Sumaye kamataja Kinana kwamba ni muuza meno ya Tembo ?? achana na hili la escorow maana liko wazi familia ya raisi inahusika kwa 75%
CCM hizi siasa zenu za kuchafuana shauri zenu ,ila pasuaneni kwanza nyie viongozi sisi wananchi tunawaangalia tu october 25 tutafanya maamuzi sahihi

Ccm wanayataka wao kwani ukawa walishasema kuwa watafanya kampeni za kistaarabu na wala sijawasikia wakimzungumzia mtu ijapo wanajua uchafu mwingi wa viongozi Sasa kwani wao hawana mioyo? hata hivyo kila mtu anajua hilo la kikwete na kikwete kusema atafurahi kuona nchi inaongozwa na magufuli ili akalinde wiki wake kwani anamwogopa Edo
 
Safi sana Sumaye. Wamekomaa na richmond wakati kuna kashfa nyingi za ubadhrifu wa mali ya umma,ikiwemo Escrow,EPA,Meremeta,Deep Green,Tangold,madawa feki,ujangili,usafirishaji wa wanyama hai. Kwa upande mwingine wananchi wakilia na umaskini,Rushwa,huduma mbovu za kijamii kama elimu,maji na umeme. Waendelee kuwavuruga wapinzani kwa kuwahonga mihela utadhani akina Slaa,Lipumba nk ndio wapiga kura. Wajifariji tu,labda vyama vyote vinavyoundwa UKAWA mvifute ktk orodha ya vyama vya siasa,tutapigia hata jiwe.....ama kinyesi.
Umeongea kwa uchungu ila mwishoni imenibidi nicheke sana! !!!
 
wanakumbuka mashamba,mafisadi, wakati wa kampeni, kabla walikuwa wapi, mm mpaka irudi ((||| ya zamani hii ya sasa ....................!
 
Ccm wanayataka wao kwani ukawa walishasema kuwa watafanya kampeni za kistaarabu na wala sijawasikia wakimzungumzia mtu ijapo wanajua uchafu mwingi wa viongozi Sasa kwani wao hawana mioyo? hata hivyo kila mtu anajua hilo la kikwete na kikwete kusema atafurahi kuona nchi inaongozwa na magufuli ili akalinde wiki wake kwani anamwogopa Edo

Tutaheshimiana mwaka huu acha tu waweke uchafu wao wazi
 
Maramla haupo sahihi kwa kauli yako na nimoja ya uchochezi kabisa.Ujiulize kama alifanya hivyo alifanya akiwa ndani ya chama kipi?na wangapi mlonao ccm wanaofanya hayo?na je hujaskia wananchi wenyewe wakisema viongozi hasa watendaji na madiwani ndo vinara? Hizo ndo moja ya kero ambazo ukawa tumazikataa na kama umejenga kando ya barabara jiandae kubomolewa nyumba bila malipo
 
Sumaye.

"Mimi ni mkweli sana, ni kweli nina shamba langu Morogoro nimelinunua kwa kiinua mgongo changu.

Mimi sikutaka kuwekeza kwenye majumba kwa kuwa nilikuwa sina pesa nyingi za kununua magorofa ndio maana nikaamua kuwa mkulima"
Wewe ni mpotoshaji amesema'' nikweli nina shamba nilinunua Morogoro kwa pesa za kiinua mgogongo sina pesa za kuwekeza kwenye magorofa na miradi mikubwa , wanasema et kufuga ng'ombe nako ni ufisadi au mlitaka tuue tembo kama kinana au tukwapue pesa za escrow kama familia ya kikwete ndio muone sisi ni wadilifu?''
 
tenda ya kuuzwa hilo shamba ilitangazwa wapi na mlishindanishwa na wanunuzi wengine kina nani na lini?
Magufuli kawaambia huko Morogoro mijizi yote inayohodhi ardhi iliyopata kiuwizi dawa yao ipo jikoni,ikiwa pamoja na Mr Zero
 
Back
Top Bottom