Sumaye: CCM kaa chonjo

Sumaye: CCM kaa chonjo

Itilima tuko tiali kuiondoa ccm madarakani sumaye simama imara
 
Sumaye amechanganyikiwa,chadema wamechanganyikiwa hadj wameitana kwa dharura kukabiliana na tukio la kuchaguliwa magufuli,ili wasipotee kwenye magazeti itabidi kesho watoke na katamko koko
Na wamepotezwa mpaka mkutano wa ccm umeisha,Molemo ndio kaibuka na uzi wa kamati kuu ya chadema
 
Maccm ngonjera na mipasho ndio imebaki?Nchi itajengwa baada ya ccm kuanguka
 
Kutoka Waziri Mkuu wa Tanzania mpaka kugombea Umwenyekiti wa Chama Kanda halafu bado anaiambia CCM ikae chonjo kwa sababu yeye ni mgombea wa Uenyekiti wa Kanda.

Sumaye wa leo anayegombania cheo na Kubenea ndiye anayeiambia CCM ikae chonjo. This is fun to say the least.

Bora hata Mbowe akisema CCM akae chonjo unaweza kumsikiliza kwa makini kwa sababu hajawahi kuwa serikalini.

Kikwete amempiga vijembe kweli kweli na vijembe vimemfanya atoke ndani ya pango na kuanza kupiga kelele.
Kamuulize aliyesema leo atakuwa Mwenyekiti wa Chama tawi la Msoga
 
Chadema chama chetu tunakipenda sana uku kwetu mipasho ya maccm inakela sana
 
Mkutano wa vijembe na mipasho kwa sumaye na lowassa ,,,kama n mgeni hapa nchini unaweza sema n chama cha umoja wa waimba taaaarabu kikijadili usaliti ndan wa chama.......only magufuli was objective
 
Sumaye yuko sahihi kabisa CCM wenyewe wanamjua Sumaye ni namba nyingine
 
Yani leo kila baada ya neno ni Chadema, Lowasa, sumaye, Hawa magamba watakufa kwa pressure mwaka huu, ukiwa muovu lazima ukose amani.
Ha ha ha ccm wote duuuh hata kama wametutukana wapinzani sitojali ila naota na ninachojua mm wanaccm wengi ni visukar tu sasa ukilinganisha kuuza utu wao na huku anakisukari atakufa na anaibiwa live anakufa
 
Back
Top Bottom