Sumaye: CCM kaa chonjo

Sumaye: CCM kaa chonjo

Kama alishidwa hapa. It won't happen on his lifetime NEVER. .
1469295926989.jpg
1469295972050.jpg
1469296014859.jpg
1469296032229.jpg


By the way tunaomba kwanza feedback za CCJ.
Otherwise wahenga wanasema " Ukisha ujua mwanzo Mwisho haukusumbui"

Isitoshe wajanja tumeshaanza kuwahi seat za mbele.
1469296506120.jpg
1469296527315.jpg
 
Sisi yetu macho kusubiri KUONA LEAGUE YA SUMAYE NA LOWASSA KUTAFTA NAFASI YA URAIS NDANI YA CHADEMA....ni suala la MUDA TU.....CCM inaenda hatua mpya na za maana wao wanarudi kula matapishi......MTASUBIRI SANA KUITOA CCM MADARAKANI
 
Hana lolote huyo
Alikuwa waziri mkuu
Anaenda Kugomb uenyekiti chama wilayani hahaha
 
Waziri mkuu mstaafu na mjumbe wa Kamati Kuu Chadema Fredrick Sumaye ameitaka CCM kukaa chonjo kwani Chadema imedhamiria kutwaa dola mwaka 2020 na haitishwi na porojo za chama hicho hicho kinachoonyesha wazi kufilisika.

Sumaye amesema anayo kazi moja tu ya kukitumikia Chadema na kukieneza kuanzia vitongojini na wala hashtushwi na watu wanaomsakama kwani wanaonyesha hofu kubwa waliyo nayo kwake.

Sumaye alizungumza kwa kifupi sana wakati anaingia ndani ya kikao cha Kamati Kuu Chadema kutokana na swali aliloulizwa na mwandishi kuhusu jina lake kuwa kama agenda kwenye mkutano mkuu wa CCM leo.

Jina la Sumaye lilitawala ndani ya mkutano mkuu huo ambaye alitajwa sana kwa kejeli na viongozi kadhaa waliopata nafasi ya kuzungumza ndani ya mkutano huo.

Hiyo ni kuashiria Waziri mkuu huyo mstaafu ni kati ya watu wanaoitia kiwewe CCM.
Anajilazimisha umaarufu aliyemtaja dodoma leo ni nani?
 
Kumbe Kamati Kuu imefanyika? Ndo kwanza nasikia hapa
lizaboni ivi kwa unafiki wako unalipwa sh. ngapi na ccm kwamana mara nyingi nakuona unajifanya unaijua sana ccm wakati umezaliwa ccm umeikuta.
 
akae ajiulize anaye toka kuwa waziri mkuu hadi mwenyekiti wa kitongoji nani kafilisika??
 
Kwa hiyo Sumaye kamzidi lowasa kutajwa tajwa kwenye mkutano wa CCM??

Unataka kusema nini msemaji wa Chadema ya angani?
 
Sumaye na lowassa ndio ajenda ya ccm.Wananchi tumekataa tamaa viwanda hamna lowassa ndio ajenda
 
Hivi ni Sumaye huyu huyu anayegombea uenyekiti wa chadema wa wilaya huko Kibaha aliyewahi kuwaambia wafanyabiashara wakitaka kufanikiwa kwenye biashara zao wajiunge na CCM au yule alikuwa mdogo wake?
 
Kutoka Waziri Mkuu wa Tanzania mpaka kugombea Umwenyekiti wa Chama Kanda halafu bado anaiambia CCM ikae chonjo kwa sababu yeye ni mgombea wa Uenyekiti wa Kanda. This is fun to say the least.

Bora hata Mbowe akisema CCM akae chonjo unaweza kumsikiliza kwa makini kwa sababu hajawahi kuwa serikalini.

Kikwete amempiga vijembe kweli kweli na vijembe vimemfanya atoke ndani ya pango na kuanza kupiga kelele.
Ni kawaida ya manguberi ya pwani kama wewe kupiga vijembe
 
Maccm yamepagawa hayajui kama Sumaye hawako nae tena.
 
Alitoka ccm,akatua nccr kuingia chadema faster kala ujumbe,imekuwa kama sadaka!!
 
2020 ndio itakuwa mwisho wa ccm.Sumaye na lowassa kazeni buti
 
huenda sumaye yuko sahihi. lakini watashinda kwa tume ipi? hii ya kusimamiwa na wakurugenzi wa JPM?
 
Back
Top Bottom