mair erasto
JF-Expert Member
- Jul 13, 2016
- 413
- 426
mzee yuko vizuri kwanza anajiamini na anauhakika na kile anacho kizungumza.
ccm mkae chonjo.
ccm mkae chonjo.
It won't happen on his lifetime NEVER. .
Anajilazimisha umaarufu aliyemtaja dodoma leo ni nani?Waziri mkuu mstaafu na mjumbe wa Kamati Kuu Chadema Fredrick Sumaye ameitaka CCM kukaa chonjo kwani Chadema imedhamiria kutwaa dola mwaka 2020 na haitishwi na porojo za chama hicho hicho kinachoonyesha wazi kufilisika.
Sumaye amesema anayo kazi moja tu ya kukitumikia Chadema na kukieneza kuanzia vitongojini na wala hashtushwi na watu wanaomsakama kwani wanaonyesha hofu kubwa waliyo nayo kwake.
Sumaye alizungumza kwa kifupi sana wakati anaingia ndani ya kikao cha Kamati Kuu Chadema kutokana na swali aliloulizwa na mwandishi kuhusu jina lake kuwa kama agenda kwenye mkutano mkuu wa CCM leo.
Jina la Sumaye lilitawala ndani ya mkutano mkuu huo ambaye alitajwa sana kwa kejeli na viongozi kadhaa waliopata nafasi ya kuzungumza ndani ya mkutano huo.
Hiyo ni kuashiria Waziri mkuu huyo mstaafu ni kati ya watu wanaoitia kiwewe CCM.
lizaboni ivi kwa unafiki wako unalipwa sh. ngapi na ccm kwamana mara nyingi nakuona unajifanya unaijua sana ccm wakati umezaliwa ccm umeikuta.Kumbe Kamati Kuu imefanyika? Ndo kwanza nasikia hapa
Duh! Pointi zingine hadi zinachekesha
Mafisadi papa wanaosemwa mbona hawafikishwi mahakamani?? Au mnawaogopaLazima tuwakumbuke mafisadi papa
Kama hukusikiliza ukae kimya sio kutafuta umaarufu hapaAnajilazimisha umaarufu aliyemtaja dodoma leo ni nani?
Muwakumbuke ili iweje?Lazima tuwakumbuke mafisadi papa
Ni kawaida ya manguberi ya pwani kama wewe kupiga vijembeKutoka Waziri Mkuu wa Tanzania mpaka kugombea Umwenyekiti wa Chama Kanda halafu bado anaiambia CCM ikae chonjo kwa sababu yeye ni mgombea wa Uenyekiti wa Kanda. This is fun to say the least.
Bora hata Mbowe akisema CCM akae chonjo unaweza kumsikiliza kwa makini kwa sababu hajawahi kuwa serikalini.
Kikwete amempiga vijembe kweli kweli na vijembe vimemfanya atoke ndani ya pango na kuanza kupiga kelele.
Mtahangaika sana. Mafisadi lazima mjinyee safari hii