bulumya londo
Senior Member
- Jun 23, 2013
- 184
- 14
sumaye wewe hamuna kitu wandangenye wehu. kwaza nilionga hamuna mfano. halijiamini nalinachokifanya.
By the way, ahsante Molemo kwa.kumjibia Wa Mchangani. Swali langu kwako, je ulifanikiwa kumtekodi wakati akitoa ufafanuzi huo?
mwsumaye wew hamuna kitu wandangenye wehu. kwaza nilionga hamuna mfano. halijiamini nalinachokifanya.
Katajwa mara moja , nyumbuuz waliotajwa mara moja wapo wengi why useme huyo ndo ilikuwa ajenda mkutanoKama hukusikiliza ukae kimya sio kutafuta umaarufu hapa

Jenga cha kwako,kiwandabunafikiri kinaota kama uyoga.Sumaye na lowassa ndio ajenda ya ccm.Wananchi tumekataa tamaa viwanda hamna lowassa ndio ajenda
umerudi toka dodoma? Luhwavi hajambo? na Lukuvi je?Kumbe Kamati Kuu imefanyika? Ndo kwanza nasikia hapa
Mchezaji wa mchangani lini akamtia kiwewe mchezaji wa ligi kuu.Waziri mkuu mstaafu na mjumbe wa Kamati Kuu Chadema Fredrick Sumaye ameitaka CCM kukaa chonjo kwani Chadema imedhamiria kutwaa dola mwaka 2020 na haitishwi na porojo za chama hicho hicho kinachoonyesha wazi kufilisika.
Sumaye amesema anayo kazi moja tu ya kukitumikia Chadema na kukieneza kuanzia vitongojini na wala hashtushwi na watu wanaomsakama kwani wanaonyesha hofu kubwa waliyo nayo kwake.
Sumaye alizungumza kwa kifupi sana wakati anaingia ndani ya kikao cha Kamati Kuu Chadema kutokana na swali aliloulizwa na mwandishi kuhusu jina lake kuwa kama agenda kwenye mkutano mkuu wa CCM leo.
Jina la Sumaye lilitawala ndani ya mkutano mkuu huo ambaye alitajwa sana kwa kejeli na viongozi kadhaa waliopata nafasi ya kuzungumza ndani ya mkutano huo.
Hiyo ni kuashiria Waziri mkuu huyo mstaafu ni kati ya watu wanaoitia kiwewe CCM.
Mahabusu😀Amezungumza kutoka mahabusu
nashangaa meKumbe Kamati Kuu imefanyika? Ndo kwanza nasikia hapa
Ulimsikiliza makamba mchana na kikwete je kama hukusikiliza ukae kimya sio kutafuta umaarufu hapaKatajwa mara moja , nyumbuuz waliotajwa mara moja wapo wengi why useme huyo ndo ilikuwa ajenda mkutano![]()
kwani wewe ulimrekodi Luhwavi?By the way, ahsante Molemo kwa.kumjibia Wa Mchangani. Swali langu kwako, je ulifanikiwa kumtekodi wakati akitoa ufafanuzi huo?
Kutoka Waziri Mkuu wa Tanzania mpaka kugombea Umwenyekiti wa Chama Kanda halafu bado anaiambia CCM ikae chonjo kwa sababu yeye ni mgombea wa Uenyekiti wa Kanda.
Sumaye wa leo anayegombania cheo na Kubenea ndiye anayeiambia CCM ikae chonjo. This is fun to say the least.
Bora hata Mbowe akisema CCM akae chonjo unaweza kumsikiliza kwa makini kwa sababu hajawahi kuwa serikalini.
Kikwete amempiga vijembe kweli kweli na vijembe vimemfanya atoke ndani ya pango na kuanza kupiga kelele.
Mdau inaonekana leo kwako usingizi utakuwa shida leoUlimsikiliza makamba mchana na kikwete je kama hukusikiliza ukae kimya sio kutafuta umaarufu hapa