BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
Kulikuwa na haja kweli ya kuitisha mkutano na waandishi wa habari au ?
Si unajua tena Wanasiasa wabongo, akiona hajasikika siku nyingi basi ni lazima atafute namna ya kuropoka hata kama anachotaka kuropoka hakina maana yoyote ile kwa Watanzania.