It's true na wakati wengine tunaanza harakati za kuonesha hasira zetu kwa Chadema uliamua kukaa kimya ...binafsi nikajua unapambana kupitia another ID ...kumbe uliamua kubariki huu ujinga unaotugharimu hata sasa ...ndio maana ulipo rudi JF baada ya kimya ukajiunga na kundi linalomtukana Dr Slaa ambaye amesimamia msimamo huu unaosema hadi sasa ndio wako! Umeshasikia "wenye" chama wakimkebehi au kumtusi Dr Slaa? ....usiwe vuguvugu ....simamia unachoamini hata ikibidi ondoka Chadema ili ulinde unachoamini ...