G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,376
- 5,262
Angekuwa mwingine angebisha yale yaluyokuwepo muda huo, kwa kuwa hujapindisha msimamo wako, kwa leo nasema ur a man of his words kuhusu maamuzi yaliyotokea.Wapi hebu uweke huo ushahidi wa mimi kubadili gia angani, hawa hawakustahili kukaribishwa Chadema hata kwa sekunde moja.. Bado naamini kwamba Chadema ilifanya makosa makubwa sana kuwakaribisha hawa watu wawili na wengine toka MACCM. Bado naamini iko siku wanaweza kabisa kurudi CCM na magwanda yao na kadi za CCM bado zimehifadhiwa vizuri majumbani mwao. Hakuna unafiki mahali popote pale.