Sumaye amponda Lowassa

Sumaye amponda Lowassa

Kama huna la maana la kuandika kaa kimya badala ya kuandika ujinga. Sasa kupita kwako sisi kunatuhusu vipi!?
Hahahahaa..jf raha sana, najua mwenyewe umeyaandika haya huku unacheka kimoyomoyo.
 
Hii thread tamu sana.

Msemaji ni Chadema

Gazeti la Chadema

Na mleta thread ni pro Chadema.

hapo ndipo unapoipata hulka ya wanachadema
 
Acha ujinga wewe! Upumbavu ulioandika hauhusiani na siasa za Tanzania, na hali yangu haikuhusu.

pambana na hali yako kiongozi wala sioni kama kuna sababu ya kuanza kubishana kuhusu siasa za Tz.
 
Acha ujinga wewe! Upumbavu ulioandika hauhusiani na siasa za Tanzania, na hali yangu haikuhusu.
mkuu mbona unatolea lugha ambayo sio ya kiustarabu/kiutuzima wapi kosa langu lilipo labda.
 
mnatukumbusha yaliopita, CDM walisha ziba masikio
Wazibe wasizibe lakini historia ni mwalimu pia anatufundisha...kwamba waliwahikusena jamaa ni Fisadi papa lakini leo ni kiongozi Wa chama chao na leo wanasema Rais hafai ni dictator je wanafaa kuaminiwa na waTanzania?! au wanatuchezea tu kumbe wanataka aame aende kwao maana hata sumaye walishawahi kumbatiza kajina ka Mr.z.e.r.o lakini Leo wanaongozwa na zero huyohuyo wamejaa unafiki
 
Kwani nimeandika kihindi na wewe kihindi huelewi!?

mkuu mbona unatolea lugha ambayo sio ya kiustarabu/kiutuzima wapi kosa langu lilipo labda.
 
Kwani nimeandika kihindi na wewe kihindi huelewi!?
dah!! inasikitisha sana kwa kweli kumtukana mtu ambaye hamjuani, kiongozi mimi sioni kama kuna sababu ya wewe kunirushia maneno ambayo hayana staha labda kama kuna sehemu nilikukosea unaweza ukaniambia lakini si kunitukana kiasi hicho.
 
Kamanda wenye hisia kama zako ni wengi sana ambao kwa njia noja ama nyingine walikubaliana na wengine hawakukubaliana lakini tukapiga hatua moja mbele kukubaliana kutokukubaliana tukasonga mbele bila kugawana fito.
Jambo hilo halikuwafurahisha majirani zetu ndo bado linawapa wenge mpaka kesha,huna la kujutia kamanda songa mbele big up
So tusiwaamini mnachokisema Leo?! maana mnawasema watu vibaya sana ila wakihamia kwenu mnawatukuza mkuu hii imekaaje !!
 
Kamanda wenye hisia kama zako ni wengi sana ambao kwa njia noja ama nyingine walikubaliana na wengine hawakukubaliana lakini tukapiga hatua moja mbele kukubaliana kutokukubaliana tukasonga mbele bila kugawana fito.
Jambo hilo halikuwafurahisha majirani zetu ndo bado linawapa wenge mpaka kesha,huna la kujutia kamanda songa mbele big up
Mkuu wewe upo tofauti na BAK maana BAK mpaka kesho anaamini Lowassa ni Fisadi papa na anatamani na Ku wish siku moja lowassa atarudi alikotoka mpaka hapa mshagawana fito mkuu...
 
Sijui Lowassa atajitetea vipi na hili dongo la rushwa anazozitoa misikitini na makanisani ili Viongozi wa nyumba hizo za ibada wampigie debe la nguvu kwa waumini wao kuelekea katika uchaguzi wa 2015.
Alijitetea na mlimuelewa?
 
Aibu yako ikukute kokote unakoenda. Unajua kwa nini Lowassa aliingia moja kwa moja katika ngazi ya maamuzi katika chama?

Wewe unakiri kutokuwa na nguvu hiyo. Kwa maana hiyo hiyo unatetea uovu wa wakubwa wako ili siku ziende.

Mwachie Lowassa chama chake mkuu. Lowassa ni yule yule kama alivyotaka kununua CCM ndo alivyonunua CHADEMA.
Siwezi hata siku moja kubariki upumbavu wa aina yoyote ile. Acha kukurupuka wewe! Wewe hujitambui hata chembe mara uko Chadema mara uko CCM! Naamini ipo siku hao mafisadi wawili watarudi walikotoka kwa mafisadi wenzao.
 
Sijui Lowassa atajitetea vipi na hili dongo la rushwa anazozitoa misikitini na makanisani ili Viongozi wa nyumba hizo za ibada wampigie debe la nguvu kwa waumini wao kuelekea katika uchaguzi wa 2015.
Mzandiki katika ubora wako. JF inazidi kukuvua boxer/thong kila kukicha
 
Aibu yako ikukute kokote unakoenda. Unajua kwa nini Lowassa aliingia moja kwa moja katika ngazi ya maamuzi katika chama?

Wewe unakiri kutokuwa na nguvu hiyo. Kwa maana hiyo hiyo unatetea uovu wa wakubwa wako ili siku ziende.

Mwachie Lowassa chama chake mkuu. Lowassa ni yule yule kama alivyotaka kununua CCM ndo alivyonunua CHADEMA.
Huyo BAK ni mzandiki kupita maelezo mkuu. Hana hata chembe ya aibu na UTU.
 
Back
Top Bottom