Sumaye amponda Lowassa

Sumaye amponda Lowassa

Tatizo lako wewe taahira umeshindwa kuuweka uzandiki wangu hadharani, na wala hujui nini maana ya neno uzandiki. Mie na hao mafisadi sumaye na Lowassa wapi na wapi? Kuukimbia umande ndiyo matatizo yake sasa unatumika mjini ili uweze kwenda choo.

Mzandiki katika ubora wako. JF inazidi kukuvua boxer/thong kila kukicha
 
Njia ya muongo na mnafiki ni fupi sana.

Bawacha kwisha habari yao
 
Dr Slaa alipokuwa akibwaga manyanga aliuliza swali hili.
Kufuatia ujio wa Lowasa ndani ya Chadema, je Lowasa ni asset au liability kwa Chadema?
Ngoja tuendelee kusubiri majibu yanayoletwa kadiri muda unavyo yoyoma.
 
Shukrani Mkuu. Kwanza sikuamini kama ni kweli ilipokuja kuthibitika kuwa ni kweli nilichukia sana lakini bahati mbaya sina uwezo wa kihivyo ndani ya Chadema kuzuia maamuzi yale mabaya ambayo yaliwakera wengi sana na pia kuwashangaza. Ikitokea hawa kuamua kurudi walikotoka nitakuwa wa kwanza kufurahia sana tukio hilo.
Wameanza kurudi kwao
Hongera Kwa kusimamia unachoamini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wapi hebu uweke huo ushahidi wa mimi kubadili gia angani, hawa hawakustahili kukaribishwa Chadema hata kwa sekunde moja.. Bado naamini kwamba Chadema ilifanya makosa makubwa sana kuwakaribisha hawa watu wawili na wengine toka MACCM. Bado naamini iko siku wanaweza kabisa kurudi CCM na magwanda yao na kadi za CCM bado zimehifadhiwa vizuri majumbani mwao. Hakuna unafiki mahali popote pale.
Wachache Sana wanamapinduzi ya ukweli.....
Unasimamia unachoamini kwelikweli.....
Keep it up!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom