BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
- Thread starter
- #181
Tatizo lako wewe taahira umeshindwa kuuweka uzandiki wangu hadharani, na wala hujui nini maana ya neno uzandiki. Mie na hao mafisadi sumaye na Lowassa wapi na wapi? Kuukimbia umande ndiyo matatizo yake sasa unatumika mjini ili uweze kwenda choo.
Mzandiki katika ubora wako. JF inazidi kukuvua boxer/thong kila kukicha