Eti ahamie cdm!!fisad hua nimuoga zaid yafisi hawez subutu na wizi amuachie nani?cdm hatutaki majambaz wakae huko huko wazikane wenyewe.akitoka wenzake watamfilis cdm hatuhitaj msaada wamafisad wenyewe tunajiweza na umasikin wetu natuko fit zaid ya utuonavyo maana tulisha kufa sikunying muda ukifika watachinjana kabisa yetu macho