Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Hana lolote mnafiki huyo mbona alipokuwa PM aliwahi kusema "ukitaka maisha yako yakunyookee jiunge na CCM"
Leo hii anakula matapishi yake mwenyewe! wanasiasa wa CCM wengi ni vigeugeu.
Hapana aliwaambia wafanya biashara wa Moshi wakitaka mambo yao ''yanyooke'' wajiunge na CCM