Mbunge wa ilula
JF-Expert Member
- Jun 3, 2012
- 211
- 18
Mpaka hapa tunapotezeana muda,hakuna jipya,mi nasepa zangu,bye
Haya ndo yalimfanya aiitishe press?? Katumia vibaya muda wa waandishi wa habari na watu wanaomsikiliza..
Sumaye:
Bado nina imani na CCM, tatizo ni kwamba hatujajipanga kusimamia kwa dhati kupambana na rushwa... CCM ni ile ile iliyokuwapo miaka ya Mwalimu
Ana hang over ya kukosa nafasi ccm huyu! Hivi kama angekuwa amepata angekuja kufanya press conference na kuongelea hayo anayo ongea?!
Waandishi wa habari hawajapotezewa muda wao na wala hawajutii baadhi wamenufaika na wito huo kwa bahasha
Jipya hadi ahamie cdm....waandishi maknjaja waliikuza na kuifanya habari bila ya uhalisia zaidi tutarajie nn unadhani kuna anayeyataka yamkute ya pendazoe wachache sana na tusitegemee mapidizi kwa watua kamaa hawa tunakuwa watu wakuskia na kutarajiaa habari mbaya bila ya kufanya mapindizu sahh sashh hata atangaze kahamia cdm bado haifanyi kuwa nd wakati kwan kazi bado sanaaKhaaaah... Mbona hakuna jipya hapo???
Nimeshastuka hakuna jipya hapa. Yale yale ya EL kusema sikukutana na JK barabarani. Aseme ameita mkutano kusema nini hasa
Na sisi ambao si waandishi na hizo bahasha hatuchukui? Katupotezea muda, hiki si kitu cha kuitisha mkutano na waandishi na kuongea. Hakuna jipya hapa. Natoka wakuu
Na sisi ambao si waandishi na hizo bahasha hatuchukui? Katupotezea muda, hiki si kitu cha kuitisha mkutano na waandishi na kuongea. Hakuna jipya hapa. Natoka wakuu
Shukurani kwa habari na matukio mengi unayotupatia live.Na sisi ambao si waandishi na hizo bahasha hatuchukui? Katupotezea muda, hiki si kitu cha kuitisha mkutano na waandishi na kuongea. Hakuna jipya hapa. Natoka wakuu