Sumaye amgwaya Lowassa!

Sumaye amgwaya Lowassa!

Magazeti yamekuwa Mbao za Matangazo utaona kesho,.mbwembwe nyingi na vichwa vya habari...
 
Rushwa sio kwenye ukubwa tu au kwenye kugombea bali ipo kwenye:
Una epa
kuna rada na vijisenti
kuna alex stewart na audit ya dhahabu
kuna mkono and company kulipwa mabilion kwa kesi za banki kuu na nyengine za serikali
kuna ndege ya rais
kuna kuuzwa nbc kwa bei poaa
kuna mashamba ya morogoro
kuna na hio kiwira ya bozi wake
kuna mauaji ya mwembe chai
kuna mauaji ya pemba
na mengi sanaaa yanahitaji majibu ambayo nadhani huna
sumaye pumzika ule pensheni yako kwa raha
urais ni mkubwa kwako
mkapa alikubeba ili asipate upinzani , alijua wewe huna ubavu wa kumpinga chochote
hivyo kuwa waziri mkuu sio licence ya kuingia ikulu
waziri mkuu tanzania ni sawa na waziri mwengine wowote
unateuliwa na rais na hujachaguliwa na wananchi
hivyo wacha tamaa pumzika
 
Amekuwa msemaji wa takukuru?!

Huna maana kabisa,kama bosi wako ni fisadi piawewe mfanyakazi ni fisadi,vivyohivyo kwa baba na familia.

Kama ccm inamkera na ufisadi anafanya nini huko sasa, kamanawewe si fisadi, ndiyo maana unaogopa kuondoka maana madhambi yako yataibuliwa.

Ccm imekuwa gereza kwake kwani sasa hana tofauti na mfungwa au mtumwa wa ccm.

Huna sababu ya kuongelea ufisadi wakati unakula na kunywa nao.

Hana haki ya kupinga ufisadi na rushwa wakati unaogelea kwenye ziwa la rushwa na ufisadi.

Ameniudhi,amenikera,amenipotezea muda wangu,halafu anakuja na sababu za mfa maji.
 
Kwa kweli Chadema wanatakiwa kumsimisha Sumaye kuwa mgombea wao wa urais.
 
anaongea maneno ya kwenye kanga tu wakati hayo tushayazoea, ccm ya sasa tofauti kati ya livingstoni lusinde na sumaye wote wanaongea sawa

Sumaye ameharibu na kuchafua hali ya hewa.... Kwa kuwa humu JF kuna walejamaa walionipiga ban siku zilizopita. Napeleka hasira huko FB, ntatukana mpaka simu iishe chaji.
 
Kati ya viongozi waliotumia madaraka vibaya mwaka 2002, ni Huyu Sumaye, ana madoa mengi sana tena sana.... na miongoni mwa mambo ambayo sitasahau wala kumsamehe SUMAYE na wenzake CHENGE NA MRAMBA ni kuondoa haki za PENSHENI kwa wastaafu wa mashirika ya umma waliokuwa wanapokea baada ya kuwa pensionable baada ya wafanyikazi wa mashirika ya umma kuchangia mfuko wa PPF kwa miaka kumi, yeye na hao wenzake kupitia bunge wakaondoa haki hiyo kwa kisingizio kuilinda mifuko hii ya jamii isifilisike, hali ambayo imeleta usumbufu katika familia nyingi za Wa Tanzania, hadi leo wastaafu wa mashirika hayo wanahangaika mahakamani, bado wanamlaani....... aondoe kiwingu ....... ni kichefuchefu........ akapumzike kwa amani hana jipya,
 
Mbona hakuna jipya? Ni nini kilimkereketa hadi akaita waandishi wa habari? Unafiki mtupu!
 
Insanity is doing insanity in the same way. . .
 
Na sisi ambao si waandishi na hizo bahasha hatuchukui? Katupotezea muda, hiki si kitu cha kuitisha mkutano na waandishi na kuongea. Hakuna jipya hapa. Natoka wakuu
Pole mkuu kakupotezea muda tu, msisahau analipwa asilimia themanini ya mshahara wa pinda wa sasa ningeshangaa na kumwona jasiri sana kama angetoka ccm kipindi, lakini nadhani angekaa kimya ingekuwa bora zaidi kuliko kuita waandishi kama vile una jambo zito la kuzungumza af mwisho wa mazungumzo hawajui ulitaka kusema nini! Aibu
 
Na sisi ambao si waandishi na hizo bahasha hatuchukui? Katupotezea muda, hiki si kitu cha kuitisha mkutano na waandishi na kuongea. Hakuna jipya hapa. Natoka wakuu
Pole mkuu kakupotezea muda tu, msisahau analipwa asilimia themanini ya mshahara wa pinda wa sasa ningeshangaa na kumwona jasiri sana kama angetoka ccm kipindi hiki, lakini nadhani angekaa kimya ingekuwa bora zaidi kuliko kuita waandishi kama vile una jambo zito la kuzungumza af mwisho wa mazungumzo hawajui ulitaka kusema nini! Aibu
 
Wakuu,

Nipo kwenye ukumbi tayari na nitawajuza kila kinachoendelea ikiwa ni pamoja na picha. Mods mtanisadia kuziweka sawa kwakuwa nitakuwa naandika kadiri matukio yanavyojiri.

Ni hapa Courtyard Hotel - Dar

attachment.php


attachment.php
Napendekeza katika katiba mpya PM wote wastaafu waondolewe ulinzi.... ni kuongeza gharama,
 
huyu nae akalee wajukuu zake tu,hatuhitaji hata idea zake.Nothing new here
 
Fredrick Sumaye amekwishakuwa PM kwa miaka 10.

Katika miaka hiyo kumi Sumaye ametumia vizuri uPM kuhakikisha ana-fastrack kila aina ya deals za kujijenga kimaisha na pia za kuwajengea wengine.

Na leo hii pale Kiluvia mwenye macho anaona, watoto wote wamesomeshwa nje na wakalipiwa mamilioni ya fedha za kodi za watanzania.

Kama CCM ingetaka awe raisi basi wangekwishamwambia, si huwa na viako vyao vya CC?

Ila haitajiki na ndio maana ameenguliwa mapema.

Sasa kama bado ana azma ya kuutaka uraisi, na pia ameamua kufanya PR mbovu isiyo na kichwa wala miguu, mheshimiwa Sumaye naona ndio anaanza kujimaliza kisiasa yeye mwenyewe.

Ataishia kuwa kama akina mzee nanihii na co ambao walijifanya wanataka kupindua meza baadae hawakuonja hata mkate na chai ya maziwa na wakawa wanasikiasikia tu.

Awe mpole ili atunze heshima yake na atumie shahada zake za Havard kufanya mambo fulani vile!
 
Mmmmmmhh! Hujui leo anaongelea wapi?? Ama unatusanifu humu jamvini!

Ondoa ukengeza wako hapa peleka pale Lumumba street unahitajika ukapokeo posho yako mtumwa jinga wewe!

Sumaye anaanza kuongea saa ngapi?
 
Aseme ni nani anatoa Rushwa. Kama ni mkweli ataje watu kwa majina na si kusema kuna watu bila kutaja majina. Kama anajeuri. CCM wote wameoza

Mkuu, kama ni kweli CCM wote wameoza kuna haja gani tena ya kuwataja kwa majina?
 
Yani hayo tu ndio aliyokuja kuwaambia watz? mbona hakuna tusichokijua, hayo yote yapo wazi. nilidhani analo jipya kumbe nae ni mlalamishi tu kama sisi
 
Back
Top Bottom