Alikuwa kwenye bethidei huo muda wa kufuatilia sukari anao kwani. Ila mimi hapa Dar nimenunua kilo kwa 4,600 leo.
Umeme na sukari sio masuala ya kuiumiza serikali ya kijani. Mambo ya ziara, hafla, uchawa, shamrashamra na mikutano ndio vipaumbele. Kadri V8 zinavyopishana barabarani uku na kule, ndivyo kijani wanavyodhani wanafanya kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.