wanasemaga hayo madude hayanaga dawa
Dawa ni kuoga kila siku na viatu...hayo madude hutokea sana sehemu za baridi na hasa vijijini ambako kuoga ni shiiiiida.....
wanasemaga hayo madude hayanaga dawa
Kifo tu ndio hakina dawa
mambo ya mjini ayaAvatar yako duh
Eti kutita chaaWasingekuja wazungu, wengi wetu humu tungekuwa kama huyo. Kutita tu ilikuwa vichakani sembuse viatu. Msinichambe nimesoma mahali
Eti kutita chaa
Vaa buti hata ulale nayo muda tu utabadilikawanasemaga hayo madude hayanaga dawa