Sugua gaga

Sugua gaga

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
370,597
Reaction score
858,099
6739bcb1db297c1110651638701a5c7d.jpg
 
[emoji16][emoji16]imenikumbusha chama flani kinacho,jigamba kujivua gamba [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Huyo jamaa sio kwamba amependa ila ni shida tu. ukipiga hesabu saizi na baridi mtu unakuta anaoga harafu hapakai mafuta.
 
Unaweza kukuta ana zaidi ya miaka arobaini hajavaa viatu vta kufunika Mguu wote!...Akivaa kwa mwezi tu unarudi swafi kama mguu wa bianca
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom