KALYOVATIPI
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,414
- 197
Sugu muhuni tu. Form four failure.
Hiyo form 4 yake inamtosha mi nliishia form 1 lakini kichwa changu au mambo yaliyo hapa naweza chuana hata na mkurugenzi wa tanesko au makatibu wa w/nishati na madini kuhusu mgao