deecharity
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 931
- 503
Sugu muhuni tu. Form four failure.
form four failure uhuni? Uliza waziri wako wa elimu tanzania awamu ya mkapa alikua na dvsn ngapi form four? Na wazaz wako wamefika form four? Kama wamefika wanadvsn gan? Jua maana ya neno ndio ulitumie.