Raisi Samia, usalama wa taifa, Chadema wenyewe, Spika Tulia wote wanajuwa ukweli.
Katika viongozi wa kisiasa wenye nguvu Tanzania kwa sasa ni Sugu. Sababu kubwa ni mmoja tu Serikali ya USA mabalozi wote wa USA wa kotoka maraisi wa vyama vyote vikubwa repuplicans na democrats ndiyo mtu wao na Samia anajua hilo. Katika watu ambao hawawezi kuguswa kwa sasa ni Sugu kwasabu yeye ndiye CIA na mabalozi wa marekani wanamuamini kuliko mtu mwingine yeyote.
Msije mkashangaa mabalozi wa US wanaenda mpaka Mbeya kuongea na Sugu sio bure. Sugu amefanikiwa kuaminika kwasababu (1) Wanajua ni mwana haki na mpenda demokrasia wa kweli (2) Ameishi Marekani na kujua utamaduni wao (3) Amewahi kuwa mwanasiasa na anajua mfumo wa siasa za Tanzania (4) Anafanya biashara na ni capitalist (5) Amewahi kuwa mwana sanaa na Tanzania ni nchi ya vijana (6) Anapendwa na rafiki binafsi wa Raisi Samia (7) Anapendwa na ni rafiki binafsi wa Mbowe.
CCM kama mkijidanganya kwamba Sugu ni mtafuta Ubunge tu mtakuwa mnakosea. Sugu ni zaidi ya Mbunge au hata spika. Tumeona Spika kabla ya Tulia akifukuzwa kama mbwa na sasa amesahaulika. Wengi ambao haufahamu iko siku mtanielewa ingawa leo mnaweza kudharau. Sugu kwa Wamarekani ni pandikizo lao muhimu na ni lazima afanikiwe na sio lazima iwe ubunge lakini wameshaamua ndiyo mtu wao.
Lazaro Nyalandu alikuwa na tamaa ya rushwa, ubinafsi na ni opportunistic/mtafuta donge ndiyo maana project yake ilishindikana
View: https://youtu.be/XhNlecpJkmw?si=t5qSej6GXt8MM-G8
Huyu wakati wa Repulicans
View: https://youtu.be/LgbB_2vXRm0?si=2IkzWK3fmcyjFW9G
Katika viongozi wa kisiasa wenye nguvu Tanzania kwa sasa ni Sugu. Sababu kubwa ni mmoja tu Serikali ya USA mabalozi wote wa USA wa kotoka maraisi wa vyama vyote vikubwa repuplicans na democrats ndiyo mtu wao na Samia anajua hilo. Katika watu ambao hawawezi kuguswa kwa sasa ni Sugu kwasabu yeye ndiye CIA na mabalozi wa marekani wanamuamini kuliko mtu mwingine yeyote.
Msije mkashangaa mabalozi wa US wanaenda mpaka Mbeya kuongea na Sugu sio bure. Sugu amefanikiwa kuaminika kwasababu (1) Wanajua ni mwana haki na mpenda demokrasia wa kweli (2) Ameishi Marekani na kujua utamaduni wao (3) Amewahi kuwa mwanasiasa na anajua mfumo wa siasa za Tanzania (4) Anafanya biashara na ni capitalist (5) Amewahi kuwa mwana sanaa na Tanzania ni nchi ya vijana (6) Anapendwa na rafiki binafsi wa Raisi Samia (7) Anapendwa na ni rafiki binafsi wa Mbowe.
CCM kama mkijidanganya kwamba Sugu ni mtafuta Ubunge tu mtakuwa mnakosea. Sugu ni zaidi ya Mbunge au hata spika. Tumeona Spika kabla ya Tulia akifukuzwa kama mbwa na sasa amesahaulika. Wengi ambao haufahamu iko siku mtanielewa ingawa leo mnaweza kudharau. Sugu kwa Wamarekani ni pandikizo lao muhimu na ni lazima afanikiwe na sio lazima iwe ubunge lakini wameshaamua ndiyo mtu wao.
Lazaro Nyalandu alikuwa na tamaa ya rushwa, ubinafsi na ni opportunistic/mtafuta donge ndiyo maana project yake ilishindikana
View: https://youtu.be/XhNlecpJkmw?si=t5qSej6GXt8MM-G8
Huyu wakati wa Repulicans
View: https://youtu.be/LgbB_2vXRm0?si=2IkzWK3fmcyjFW9G