GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,568
- 108,911
Naibu Spika Tulia Ackson amemkosoa Mbunge Wa Geita Vijijini Joseph Msukuma, kuacha kuaminisha wanafunzi kuwa elimu ya darasa la saba ni bora kuliko elimu ya juu kwa kuwa Serikali inajitahidi kuboresha shule kwa ajili yao na hivyo ni muhimu kuwahamasisha kusoma kuliko kuwakatisha tamaa.
Naibu Spika ametoa kauli hiyo baada ya mbunge Msukuma kuchangia bajeti ya Wizara Ya Ulinzi na kutoa maoni kuwa JKT isiweke kigezo cha elimu na badala yake hata wenye elimu ya darasa la saba wachukuliwe kupewa mafunzo ya jeshi hilo.
Chanzo: Nipashe Online
Hayati wenu alimuharibu sana huyu Mpuuzi kwa Kumlea na Kumdekeza huku akijua ni Mpuuzi na hata hana Sifa za kuwa Mbunge kama alivyo sasa.
Yaani kwakuwa eti GENTAMYCINE sijasoma au ni masikini ndiyo niwadharau na niwachukie waliosoma sana na wenye Pesa ( Utajiri ) sana?
Na kwa Hasira alizonipandisha huyu Mbunge wenu Mpuuzi namshauri Mabadiliko ya Katiba yafanyike haraka sana nchini na Mgombea Ubunge yoyote nchini lazima awe na Elimu ya kuanzia Shahada ya Kwanza ili Mimi na Mangumbaru ( Wajinga ) wenzangu ( akiwemo na huyu Mbunge ) tulioishia Darasa la Saba tutafute Kazi zingine za Kufanya ambazo naamini ziko nyingi tu.
Kuna Vitu vinaboa na kukera sana tu.
Naibu Spika ametoa kauli hiyo baada ya mbunge Msukuma kuchangia bajeti ya Wizara Ya Ulinzi na kutoa maoni kuwa JKT isiweke kigezo cha elimu na badala yake hata wenye elimu ya darasa la saba wachukuliwe kupewa mafunzo ya jeshi hilo.
Chanzo: Nipashe Online
Hayati wenu alimuharibu sana huyu Mpuuzi kwa Kumlea na Kumdekeza huku akijua ni Mpuuzi na hata hana Sifa za kuwa Mbunge kama alivyo sasa.
Yaani kwakuwa eti GENTAMYCINE sijasoma au ni masikini ndiyo niwadharau na niwachukie waliosoma sana na wenye Pesa ( Utajiri ) sana?
Na kwa Hasira alizonipandisha huyu Mbunge wenu Mpuuzi namshauri Mabadiliko ya Katiba yafanyike haraka sana nchini na Mgombea Ubunge yoyote nchini lazima awe na Elimu ya kuanzia Shahada ya Kwanza ili Mimi na Mangumbaru ( Wajinga ) wenzangu ( akiwemo na huyu Mbunge ) tulioishia Darasa la Saba tutafute Kazi zingine za Kufanya ambazo naamini ziko nyingi tu.
Kuna Vitu vinaboa na kukera sana tu.